π€£π€£π€£Unavyojua kujitetea πππ
Umeyakoroga unatishia kujinyonga?! Kufwaaaa
Sijaelewa,inamaana gani hiyo ?Hamna chalii ya R wote tunapendana kinouma nouma πππ
Hahahaaaaa πππ upelekwe msanga chole samvula. Uwe mkwe wa kingwenduSitaki
Sidanganyikiπ
πππ Si uende matombo!!Naomba uchawi basi kidogo,kuna binadamu wananisumbua akili.
Ile ajali kidogo tu lakini nahisi nimerogwaπ€£
πππ mfyuuu!!Sijaelewa,inamaana gani hiyo ?
Mimi mshamba kaka yako π
Ena mwafilombe πππ
loli ππTwakumyenu nkamu gwanguππ
Nimekataaaaππππ€£π€£π€£π€£ umegoma
π€£π€£π€£Aah wapi nimekataaaHahahaaaaa πππ upelekwe msanga chole samvula. Uwe mkwe wa kingwendu
Ila Gang niliyokuwa nayo ilikiwa inanipa pressure.πππ Si uende matombo!!
Wewe ulipewa chaka na wajukuu wa Abood unashindwa kufanyia kazi.
Serious...πππ mfyuuu!!
Sema unataka nikazie hapo kwa chugaman.
Oyoooooo!!! Watu na Jux wenu πππNimekataaaaπππ
Namsubiri jux arudi hewani
Naona hayuko online
Nawe ulizidi ubabe na kutaka kula gabacholi kimasihara πππIla Gang niliyokuwa nayo ilikiwa inanipa pressure.
"Hey zungu,uko matombo wanaenda watu kuchukua uchawi sana"
"Hata hawa wanaenda huko kwa ajili ya buses zao ili watoe kafara"
π€£
Hakika ile miaka ilikuwa ni ujingaπ
Msalimie shemeji yangu wa utotoni mr "Y", makazi yake Dubai kwa sasa...
Bora usielewe hivo hivo π€£π€£Serious...
Sikuwa nimeeelwa ila nimepata majibu,sipendi aibu ndogondogo zinioneshe mimi mshamba ndio maana sikutaka kuweza wazi wapi sikuelewa.π€£
Eeh ndiooooOyoooooo!!! Watu na Jux wenu πππ
Hii imeenda aiseee
ππππ HatareeeeEeh ndioooo
Dr.adams faida popote ulipo π€£π€£
Mzee patel aliniambia nitakuwa jambaziπ€£π, baada ya issue ya mwisho nzito kudhamiria kuifanya,nilipewa kichapo nikawa mwekundu na chozi halitoki.Nawe ulizidi ubabe na kutaka kula gabacholi kimasihara πππ
Sema walikutisha wala harogei matombo, Yule uchawi wake anausafiria kwa kina Okwonkwo Legoo uko na Malawi
Naona unataka niachike sasa!! Y ndio nani?! ππ
Hao ni wale madogo wawili wa SUA waliofia kwenye mgogoro wa Israel & GazaBibi sijui kawatoa wapi mahandsome hao?!
Halafu hajaweka maelezo, katurusha roho na wajukuu zake πππ
Sisikii la Azana wala nnπ€£π€£ππππ Hatareeee
Kweli umeamua!! Husikii lolote kwa Jux
ππ’JmnHao ni wale madogo wawili wa SUA waliofia kwenye mgogoro wa Israel & Gaza