Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,165
- 41,906
π π π πMake sure sauti yako haikosi itapokuwa tayari,sauti nyororo zinanikonga nyoyo sanaπ.
Wajukuu wa Abood wamepajuaje matombo kwenye mizimu ya kolero?! ππππ€£π€£
Nitakusaidia maombi kwa melo,
nilifahamu hiyo sehemu kupitia vile vibweka kuchapana ngumi pale darajani karibu na shani cinema,kuna mzee alikuwa fundi saa pembeni kidogo ndio alikuwa wa kwanza kuamua ugomvi tusivuruge biashara yake.
π€£ vile vijukuu vya abood walivyoona mziki mzito wakauchapa mwendo huku wakitutushia watatusomea somo ikishindikana wataenda kuturoga matombo.π€£
πππ uongoHapana ,hizo tabia za kijana mshamba hachekwi.π€£π
Acha kunijaza basi π πMzuri mzuri tu shogare, we mbona kisu kikali kabisa! Au unadhani sijakuona?
Man Zulu man! Let's wait until nightfall, I have something to share thenβ¦.I'm all ears...spill the secret about those magical,syeeeeeksiiii fingers of yoursπ..
What's the sweet surprise your fingers are up to mama?π€€
ππππππmh nitakupa kajizawadi siokwarangi hio adimu
π€£π€£Wajukuu wa Abood wamepajuaje matombo kwenye mizimu ya kolero?! πππ
Au babu yao ndiko anakoenda kuroga?!
Hahahaha nimecheka kinoma! Dada mshenzi sana wewe!Kabisaaaa!!! πππ
Hawajui km na sie tunayaweza katika yeye atutiaye nguvu πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Kwahyo kaka yako timbulo?πππ uongo
Weeeee kumbe mambo yako hivi!!!! Hebu aweke, aweke bwanaaaaa! πAfu kweli shem tuma, muda sijakuona na ile minywele yako. Halafu ulianza gym niliona kifua km chote π
Hebu mrushe roho binti kiziwi kwanza πππ
Can't wait for the night and your sweet surprise...Man Zulu man! Let's wait until nightfall, I have something to share thenβ¦.
Limeisha hilo mkuu!unitafute badae mrembo
Nitakufa.π π π π
Utaniponza vibayaaaa! πππCan't wait for the night and your sweet surprise...
Excited!!!!!ππ€€π€€
Ila iwe mwenyewe tu,napenda uchoyo kwenye vitu hizi.
Usijali bibie, I'll have your back na hiyo ndio kazi ya mwanaume.Utaniponza vibayaaaa! πππ
Hapo pa kazi ya mwanaume nimecheka sana maana kuna uzi wa kilio kule sijui umeuonaaa?? πUsijali bibie, I'll have your back na hiyo ndio kazi ya mwanaume.
Kwahiyo na wewe unamuunga mkono sisi ni wadudu?Hapo pa kazi ya mwanaume nimecheka sana maana kuna uzi wa kilio kule sijui umeuonaaa?? π
Ili ungundue kutokuwa na chenga chengaIli nigundue nini wee cuzo wa coca stakiii!
mshamba_hachekwi shem tupia!!Weeeee kumbe mambo yako hivi!!!! Hebu aweke, aweke bwanaaaaa! π