Kweli Dr Jux kakuteka shouga angu!! πππDr.adams faida
Huyu hapa nimepata mwiteee
Picha kali km hizi unatuma Dr Jux akiwepo buana ππππ Nalo neno
Nimezingatia ushauri!
Ngoja kwanza aje
Weka nasubiri hapa πPicha tu haina shida mama.
Hahaha Hiyo ngoma nzito hapana...naishi matombo,Hapa mjini Dar es salaam nimefika kwa lift ya trucks za mizigo tu.
Bibi sijui kawatoa wapi mahandsome hao?!
Hapo umeniacha π€£π,ila naishi matombo.Weka nasubiri hapa π
Matombo mkuyuni? Au kiroka?! πππ
π π π πKweli Dr Jux kakuteka shouga angu!! πππ
Haya we shem wa kwa Biden wera yuu? Dr.adams faida
Tunakutafuta huku kwani ulipanda ndege gani?! Tayana wangu hana raha, chakula hakipiti π
Kumbe nawe umeonaBibi sijui kawatoa wapi mahandsome hao?!
Halafu hajaweka maelezo, katurusha roho na wajukuu zake πππ
Mimi huyo? π³π³Lamomy huyo.π€£
Nikiweka tena itakuwa kesi
Ashura hana kazi ndogo πππAshura nomaπ π π
Id ndefu ngoja nitafute kwanza nitakuita
Uishi matombo halafu usipajue mkuyuni na kiroka?! Kweli? Basi muongo πππHapo umeniacha π€£π,ila naishi matombo.
Bibi kajua kuzaa, wako vizuri sana π€£π€£π€£Kumbe nawe umeona
Au watt wake jmnππ
Namuona tu anavyopita kama haoni salam...π€£member mzuri huyoπ
msalimie
Dr alisema ananiletea zawadi kwa kumpa mrembo Tayana ππ π π π
Naipenda sana hiyo sehemu yaan kwa kuisikia tu ilikuwa inanipa vibe hadi sasa na nilitamani kufika hata nione mazingira yake.Uishi matombo halafu usipajue mkuyuni na kiroka?! Kweli? Basi muongo πππ
Kwikwikwi π πDr alisema ananiletea zawadi kwa kumpa mrembo Tayana π
Mtakuwa km Ashanti na Nelly
Kumbe hujawahi kufika?! πππNaipenda sana hiyo sehemu yaan kwa kuisikia tu ilikuwa inanipa vibe hadi sasa na nilitamani kufika hata nione mazingira yake.
Mtapendezana Sanaβa πππKwikwikwi π π
hao kasa wanafaidiπ