Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,303
Kasema ukweli ninaokwambia kila siku
Wee kumbe
Santo sana bestie haya do the needful utubles Jioni yetu kwanza🙇
Kasema ukweli ninaokwambia kila siku
Walekoo Salam
Mwambie huyoKasema ukweli ninaokwambia kila siku
Hujaacha tu last bornWalekoo Salam
Tajiriii😍🔥🔥🔥
Nakuja kufuta Infinix yangu kwenye kashati ka kitajiri
Ndiooo ndiooooo 😍😍!
Hebu tuone na wanchoma😍Hujaacha tu last born
Tajiri hana baya🔥Ndiooo ndiooooo 😍😍!
Naona gentleman kazini 👌
Kumbe tupo na mabosi humu na hatujui!
Barikiwa sana
Fungua codeHebu tuone na wanchoma😍
Kuna story ni nzuri sana naonaga wee sio mdau kabisa!Ni hatari na nusu aisee🔥
Ushawahi ona mimi nasoma stori hata episodes 2?
Sasa Ile nilisoma episodes zoote,wakati naiona alikuwa episode ya 8 nadhani.
Nilikuwa nadhani wewe katoto kenzangu banaFungua code
Yaani mimi hadi stori inivutie nisomeKuna story ni nzuri sana naonaga wee sio mdau kabisa!
Hio ngoja nikipata muda nipite nayo!
Boss wa migebuka😁!Boss wa migebuka, na clear orders.
Last born 😂😂😂Nilikuwa nadhani wewe katoto kenzangu bana
Avatar hizi😂
Kumbe tajiri 😂😂😂🔥🔥🔥🔥
Tuone kiatu tajiri
Yaani huna Baya🔥
Ntag hyo iliyokuvutiaYaani mimi hadi stori inivutie nisome
Mwandishi afanye juhudi za ziada
Nyingi nimeshindwa kusoma...ila hii nimeipenda .
Ile ya yule wa Goba kwa kweli nikichoka,,sijui hata niliishia wapi.
Boss mkurugenzi meneja kitambiLast born 😂😂😂
Mimi katoto kenzako,
Yaani mimi hadi stori inivutie nisome
Mwandishi afanye juhudi za ziada
Nyingi nimeshindwa kusoma...ila hii nimeipenda .
Ile ya yule wa Goba kwa kweli nikichoka,,sijui hata niliishia wapi.
Sasa kuna ya Biashara ya uber ni yamoto balaa!Yaani mimi hadi stori inivutie nisome
Mwandishi afanye juhudi za ziada
Nyingi nimeshindwa kusoma...ila hii nimeipenda .
Ile ya yule wa Goba kwa kweli nikichoka,,sijui hata niliishia wapi.
Ngoja nitafuteNtag hyo iliyokuvutia
Ile nayo sijui hata kwanini najisikia uvivu kuisomaSasa kuna ya Biashara ya uber ni yamoto balaa!
KabeeesaTajiri hana baya🔥
Mwenyewe jobless reincarnationNgoja nitafute
Ila kaandika huyo mwamba anaitwa TAI DUME
sijawahi muonaga akikatiza jf,ndio nimekuona kwenye stori.
Jamaa ni 🔥
Ila stori yake inabamba kwa sisi majobless
Wakemia na nyie matajiri itawachosha