Emu nidokezee kidg bas,
Wizzy yupo kajaa majukumu yanam keep busy!! Hata time ya kuja huku hana!!
Ngoja nikambembeleze aje akupe hi shem wake. Jana nilimpa ubuyu wa dia ex kacheka huyo
π€£π€£π€£Anaogopa kupokea miamala. Basi aelekeze apate open cheque. Figure atajaza. Nafanya kwa niaba yako. Usiwe mnyonge
Eee ndio πππππ€£π€£Matajiri hawaachwi holiday season ππ
Ongezaa sautiiWeee!! Subiri bday ipite kwanza na mwaka uishe ndio tuangalie km tuachane naye au tuendelee naye
Matajiri hawaachwi kipindi iki tutakosa kwenda kula holidei ooh!!
Naona baby ametishaaOyooooo!! Tajiri umetisha!!!
Mgodi umetema tajiri!! Haya Tayana-wog umesikia jeuri ya hun wako huku?!! πππ
Bday tunayo sema lingine
samahani sanaAnanikosea heshima
Mtu anaweza dhani labda anayaonaga mapaja yanguπ
Naona mwanaume uko chimbo ukitoka ni miamala tuππNiko natafuta uzitumie.
Oyooooo!! Tajiri umetisha!!!
Mgodi umetema tajiri!! Haya Tayana-wog umesikia jeuri ya hun wako huku?!!
Bday tunayo sema lingine
Na ulikua mtamu kweli! π€€π€€Hadi nimetamani wali maharageπ
Naona baby ametishaa
Ana helaaa mpk anatamani kujiteka
Chawa Kaa vzr
Huyo balehe inamsumbua πππAnanikosea heshima
Mtu anaweza dhani labda anayaonaga mapaja yanguπ
Wape offer. Bill italipwaNaona mwanaume uko chimbo ukitoka ni miamala tu
Nimesema kesho sijataja tarehe πππ
Ewaaaaaππππ wewe nguo yako itoke kwa Elisha red label na tajiri yeye tumpeleke kwa yule mkongomani Muujiza wa Jesus akapate suit moja matraata sana πππ
wewe nguo yako itoke kwa Elisha red label na tajiri yeye tumpeleke kwa yule mkongomani Muujiza wa Jesus akapate suit moja matraata sana
ππππ mchuchu mbona hujatokea tena Mwenge?!miss you too mnywani
karibu simbo hapa au ushaniachia vumbi kama lamomy
Weka foto tukutunze shem na chawa wa mimi. Umenipa bebi material. You deserveNimesema kesho sijataja tarehe
Tuangalie kesho