Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Niko na negotiate vitu na mtu hapa ila sasa uniombee pepo ya kuuza mali isiingilie maongezi🀣
Kwanza kaka tuachane na hayo wifi umempa mzigo wangu??
Afu mpk muda huu unasubiri nini kumuanzishia wifi uzi wa kumsifia?!!
Watakupora shauri yako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwanza kaka tuachane na hayo wifi umempa mzigo wangu??
Afu mpk muda huu unasubiri nini kumuanzishia wifi uzi wa kumsifia?!!
Watakupora shauri yako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mzigo atakupatia vipi nikimpatia?


Kwahiyo nijilinde kwa kumfungulia uzi tena?🀣 alaf
Wifi yako leo hajaenda kazini anaumwa na hospital hataki kwenda anahofia sindano(nahisi kamiss tu sindano isiyoumiza) na naona hali ya hewa yenu hapa inaumiza tu muda wote hata huyu ninaemsubiri na lugha yake ngumu naona hii meeting haitoenda.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…