Mabibo umeshahama?Mimi sauzi??? Sio aliyah kweli??? Itakua umechanganya cousin niliona sehemu cocastic kasem Aaliyahh yupo kwa madiba ya Bundaπ!
Mi nimejaa tele Nyakiboo bhukuπ
Mkuu unakaa DXB au uko kwenye business trip?Giza nene
Bff shem yuko wapi? Au washakupora? π€£π€£π€£π€£Tumeambiwa upo sauzi imekuwaje shosti π€£π€£π€£
Wee kumbe!! Hongera zake sana maisha ndio hayahayaaa!Wanywanywa nyie khaaa π€£π€£π€£π€£
Aaliyah yupo south kweli
Eee mwenzangu π€£π€£π€£Wee kumbe!! Hongera zake sana maisha ndio hayahayaaa!
Mi nasubiria bolii la Taifa stars hapaa tupieni tupieniii..tena wekeni naked kabesaaa!Jamani njooni mtupie mafoto nataka nikalale π€£π€£π€£
Acha unywanywaa tupia mafoto uduguuu huu uzi tumeambiwa hautaki story nyingi lasivo utafungwa!πEee mwenzangu π€£π€£π€£
Mi nshapita naked bado wewe uduguMi nasubiria bolii la Taifa stars hapaa tupieni tupieniii..tena wekeni naked kabesaaa!
π
We umechanjiwa hela πππShemeji Tayana kakufungulia pm kwanza nijue? πππ
Sio mnapiga domo mpk wakala afunge ofisi nikose pesa
Nishatupia sana huo mpira leo unasubiriwa na wengi khaa!!Acha unywanywaa tupia mafoto uduguuu huu uzi tumeambiwa hautaki story nyingi lasivo utafungwa!π
Wee sijaona irudiweee irudiweee!!Mi nshapita naked bado wewe udugu
Ngoja niende jukwaa la sports nikacheke Mie wanasema CCM inacheza na Morocco πΆπ»ββοΈπ!Nishatupia sana huo mpira leo unasubiriwa na wengi khaa!!
Kuna mtu yuko busy hapa naye anataka kucheck mechi ya Taifa stars
Bff maokoto Tayana ananikwaza sana leo ππππWe umechanjiwa hela πππ
Udugu muongo π€£π€£π€£Wee sijaona irudiweee irudiweee!!
Khaaaa!! π€£π€£π€£πNgoja niende jukwaa la sports nikacheke Mie wanasema CCM inacheza na Morocco πΆπ»ββοΈπ!
Tutaweka wapi sura zetu.....kwann anafanya hivyoBff maokoto Tayana ananikwaza sana leo ππππ
Kataka pesa ya boot, Wadau wamekuja afu anazingua kufungua piem na kazi kanipa mwenyewe ya kuita wanunua mabuti π€£π€£π€£
Mfyuuu!! Mshendwweee!βΊοΈKhaaaa!! π€£π€£π€£π
Ila mi mwenyewe natamani wafungwe Taifa stars