Umeuona mwezi katika siku ya leo baada ya giza kuingia?

Mzawa_G

JF-Expert Member
Feb 27, 2014
667
1,467
Basi utakuwa unautazama mwezi wenye muonekano unaofahamika kama Waxing rescent ambao ni muonekano unatokea mara baada ya mwezi kuandama na kuanza safari yake mpya katika zunguka Dunia yetu.

Eneo la mwezi unaloweza kuliona Duniani kwetu ndilo eneo linalopokea mwangaza wa jua au tuseme ndio eneo linalohakisi mwangaza wa jua na eneo lisiloonekana halijaweza kuhakisi mwangaza wa jua.

Eneo linaloonekana siku ya leo limehakisi mwanga kwa kiasi cha asilimia tano tu ya eneo zima la mwezi wetu.
mzawa
Moudyswema
Tanzaniascienceyetu
AstronomyKiswahili
FB_IMG_1674505905543.jpg
 
Sipendi kutizama mwezi usiku pakiwa na giza flan,, sijui nawazaga nini? Ila naogopa tu

Tokea 2020 mpk sahii sikumbuki lini nimeutizama mwezi ikiwa ni majira ya usiku
 
Sipendi kutizama mwezi usiku pakiwa na giza flan,, sijui nawazaga nini? Ila naogopa tu

Tokea 2020 mpk sahii sikumbuki lini nimeutizama mwezi ikiwa ni majira ya usiku
Acha uwoga inabidi usafiri usiku na jahazi halafu bahari ichafuke kwenye kiza tororo kiza kinene na mvua kubwa.
 
Sipendi kutizama mwezi usiku pakiwa na giza flan,, sijui nawazaga nini? Ila naogopa tu

Tokea 2020 mpk sahii sikumbuki lini nimeutizama mwezi ikiwa ni majira ya usiku
Duh! Pole sana mkuu

Anga letu ni Zuri sana hasa wakat wa usiku
Kuliangalia tu unaweza kujifunza ving mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom