Wanataka tutoe taarifa za Rushwa wakati mtoto wa Mgombea anagawa vitenge huko
Nielekeze kuna sms zina kuja za ovyNiliwablock zamani sana, sioni huo upuuzi mimi
Ukifungua msg kwenye vidoti vile vitatu juu upande wa kulia, click halafu itakuletea options nyingi. Chagua ile iliyoandikwa "Block & report spam". Hii ni kwa Android phones lakiniNielekeze kuna sms zina kuja za ovy
Nimewapiga blockMpaka muda huu umetumiwa sms ngapi na TAKUKURU? Huku rekodi inasoma sms tano ndani ya siku moja 😃
Natumia iphoneUkifungua msg kwenye vidoti vile vitatu juu upande wa kulia, click halafu itakuletea options nyingi. Chagua ile iliyoandikwa "Block & report spam". Hii ni kwa Android phones lakini
MAKAMPUNI YA SIMU NI YA FISADI ROSTAM AZIZI NDIYO SABABU ...YEYE ANAKUSANYA TU PESA KWA HAYO MATANGAZO ....SASA IMEFIKIWA UNATANGAZIWA KITU AMBACHO HIYO HUDUMA HAIPO NA NAMBA UNAZO PEWA AZIFANYI KAZI ILIMRADI TU ROSTAM AZIZI ALIPWE PESA NA SERIKALI KWA KURUSHA MATANGAZO.Mpaka muda huu umetumiwa sms ngapi na TAKUKURU? Huku rekodi inasoma sms tano ndani ya siku moja 😃