Elimu sikuhizi ni bure hila cha ajabu umeshindwa kunipeleka shule.Wahindi hawana viwanja wanaishi nyumba miaka yote nawajua lakini akaunti zimetuna na watoto wanasoma Mzizima Aga Khan, Shabaan Robert na IST wakitoka Hapo Vyuo wanaenda UK, Australia, Canada na US. Wewe umekamata kiwanja Tuangoma hukoo mtoto anasoma St. Kayumba Kazi Konda wa Daladala.