Kuko hivi nakupenda Kwa sautiiiiiiiooioo, yaaani paaaaaza sauuuuitiiiiooiKupenda kwa sauti ndio kukoje?
Ibaki hivyoKwa nini
Kazingua dogo 😂😂😂😂🫵🫵🤣Huwa najitahdi sana kuzipromote mada zako mdogo wangu, ila kwenye hii mada umeandika utoto mshenzi wewe.
Ukute hata ni mwamba mmoja na mbupu zake katulia tu nyuma ya I'd ya kikeKuna member humu nilimuelewaga sana ila fresh popote alipo shetani amlambe komwe lake.
Ile ni pisi tena pisi kali kalioUkute hata ni mwamba mmoja na mbupu zake katulia tu nyuma ya I'd ya kike
Bwashee umejuaje?😁Ile ni pisi tena pisi kali kalio
Mimi si ni retirrd Special forceBwashee umejuaje?😁
Itakuwa tulisoma wote Kuna mkaka mmoja tulikua tunamuonea sana,unamkuta katulia zake tu unaanza kumtongoza huku unampapasa mgongoni basi anaona aibu mwenyewe😀😀😀😀😀😀Miaka ileee shule ya msingi, nilikuwa penda penda sana halafu mpole...
Wale mabinti wakausoma mchezo wakawa wanaleta michoro nawachorea, maswali magumu nawafanyia.
Basi nikawa kibaraka chao na kufunguka siwezi, mara moja moja wakinionea huruma nimechapwa na mwalimu wanajitutumua "mshamba poleeee..."
Na walivyojua nimezubaa sana basi wakawa wananitongoza kinafki wakijua siwezi kujibu.
Nilikuwa kibonge nyota yangu haikung'aa sana.