Umeshawahi kujiuliza kwa nini baadhi ya watu hutafuna kucha zao mpaka zinachubuka

Umeshawahi kujiuliza kwa nini baadhi ya watu hutafuna kucha zao mpaka zinachubuka

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
780
Reaction score
1,831
Umeshawahi kujiuliza kwa nini baadhi ya watu hutafuna kucha zao mpaka zinachubuka. Hii si tabia ya kawaida tu — ni ishara ya kinachoendelea ndani ya akili yako.

Kutafuna kucha husabishwa na Msongo wa mawazo ,Hofu au aibu, Kuchoka, kukosa la kufanya na Kwa wengine ni Tabia ya kurudiarudia toka utotoni.
 
Umeshawahi kujiuliza kwa nini baadhi ya watu hutafuna kucha zao mpaka zinachubuka. Hii si tabia ya kawaida tu — ni ishara ya kinachoendelea ndani ya akili yako.

Kutafuna kucha husabishwa na Msongo wa mawazo ,Hofu au aibu, Kuchoka, kukosa la kufanya na Kwa wengine ni Tabia ya kurudiarudia toka utotoni.
Mimi tangu utotoni!
 
Mbona kuna wtt wadogo tu wanatafuna kucha, nao pia wana msongo wa mawazo?
Nami nasubili jibu ili sababu rafiki yangu ana mtoto wake wa kike yupo sekondari nae anakula kucha hadi damu zinamtoka hadi tumeplani tuwe tunamvisha glove
 
Kama Setfree antafunaga Hadi vinyama vile vya pembeni, when she is damn bored, she needs a man to fak her so hard ...
 
Daaaa!!! eti kutafuna kucha,mi utotoni nilikuwa natafuna tshirt niliyovaa upande wa shingo/kola mpaka unafanana na pazia za vyoo vya tandale na mbagala jinsi zilivyochakaa,mwanaume unang'ata kucha!!! ndio maana mashoga ni wengi nyakati hizi
 
Uwongo tuu
Sasa mi nina hofu gani.. just imagine nakula kitimoto na naitwa ikram

Ukisema aibu ndo kabisa sina na sijawahi kuwa nayo. Hii nilithibitisha kule kisarawe hospital baada ya dactar sijui wa maabara kunituma kinyesi niweke kwenye test tube.. nilijaza ile test tube moaka akawa anauliza niliwekaje ule mzigo wote mule..

Kukosa la kufanya hapana maan kila siku kuna kazi lazima niifanye ambayo ni project ya kama miezi minne hv ...

Msongo wa mawazo sina aisee mishangazi hii mfano sasa kuna mmoja huyu anaitwa mama baraka an naichapa usiku na mchana mkuu...

Kidgo tuseme hii tabia tangu utotoni...
Sio tabia ya kula kucha ahahaha ni tabia ya kupenda mishangazi
 
Ni natural tuu maana mimi mpaka sasa ni mkubwa ila nashindwa acha...
Najitahid kipindi cha ramadhan tuu na sitafuni naona taharibu funga ila otherwise natafuna vibaya mno

Just imagine mi kujikuna huwa natumia funguo ya gari yangu hii gari mpya Alphard G hata mwaka haina
aahhh! Hyo Alphard nyeusi sio….Next time tembea na Gunzi ujikune vizuri mkuu
 
aahhh! Hyo Alphard nyeusi sio….Next time tembea na Gunzi ujikune vizuri mkuu
Leo wakati natoka kariako nipo kwa bajaji miguu imepaukaaaaaaaa...

Nikawa napishana na hayo magari aiseee one day yes jamni..

Alafu wanaotembesha ni wamama na vijana aiseee just imagine magari ni mengi sana road mpaka nawaza hivi kuna sehemu wanagawa au ndo wananunua maana million 50. Na kuendelea sio pesa ya kitoto..

Mkuu nashindwaga kujikuna kabisa an aisee napenda sana kucha japo kwa sasa huwa natafuna kwa kujifucha
 
Back
Top Bottom