yaani hiki kizazi cjui kinalaana?
kila dem unaemtokea anawaza mafanikio makubwa ghafla/ apate gari nyumba nzuri na ndio ndio 7bu wanaingizwa mjini
sasa hiyo tisa kuna mshkaji wangu aliwahi kupata dem wa jins hiyo dem akawa na tamaa anataka laki 3 ndio atoe
mshkaj akasema haina shida nitakupa tukitoka iko kwenye gari, baada ya shughuli wakatoka mara dem akaona nguo kwambali dukan akasema baby ninunulie bac ile..
mshkaj akamwambia nenda uliza bei halafu uje uniambie
alivo shuka jamaa nduki
kila dem unaemtokea anawaza mafanikio makubwa ghafla/ apate gari nyumba nzuri na ndio ndio 7bu wanaingizwa mjini
sasa hiyo tisa kuna mshkaji wangu aliwahi kupata dem wa jins hiyo dem akawa na tamaa anataka laki 3 ndio atoe
mshkaj akasema haina shida nitakupa tukitoka iko kwenye gari, baada ya shughuli wakatoka mara dem akaona nguo kwambali dukan akasema baby ninunulie bac ile..
mshkaj akamwambia nenda uliza bei halafu uje uniambie
alivo shuka jamaa nduki