Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 875
Aiyaaaaaaaaa!Ndo zangu hizo
Aiyaaaaaaaaa!Ndo zangu hizo
Hadi mnafika kote huko ni kwamba ulikua huoni au??? haya mapenzi ya kuiga hayapendezi kabisa
Haahahahahaaaaaaaaaaa! MTAJI WA MASIKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE!!!!!!
mmh,hv kumbe na wa vile wapo!!!! basi mwenzenu huwa napokea tu ht bila kuuliza hbr za designer wala nn.......ninachojua mm ni kupokea,kushukru na kuanza kutumia.
...................Chu Tang Huang................
Wanaume wenzangu,Umeshawahi kupata Msichana,mnadate lakini yeye ana sheria kama anaishi Europe wakati wazazi wake wanakaa NGALE LO O??
Msichana anaku-ektia maisha hadi wewe Boyfriend wake wakati unamjua fika A-Z kwa kujifanya High Class,kila kitu anataka high class,kuanzia nguo,hadi sehemu ya kula,ukitaka kumpeleka kwa khani chips anakwambia mi nimezoea Naura Springs huko ntaumwa tumbo Tumbo??wakati mamako anakula kishori home na ananenepa vizuri tu Huwezi kuwa serious!
Mathalani,umemnunulia zawadi maskini ya Mungu,umepata vijisenti kidogo ukaamua kum-surprise bebi nini,umemnunulia Kiatu kizuri .Sikia sheshe lake na maswali yake ya kalunguyeye,Baby wow,thanks for Shoes,Designer gani???OOh Em G(kwa ile sauti yao ya swagga za kwenye Series za ITV),Chu Tang Huang,oh no please I only wear Italian Designers,kama Sio LV basi iwe angalau Prada,Versace,D&G au Givenchy,ukikosa saana,labdaRoberto Cavalli au Jean pauul Galtier Hivi viatu rudisha tu baba,they are so cheap Linakushuka Shuu!Maskini,unakuwa umejisapraiz!
Tatzo Lako ww D 007 ni kwamba huna History ya kuroll na Big dogs bitches ndio maana unaongea yote, sasa ngoja nikupe hii FORMULA ndogo tuu , Ukamilishe TRIPPLE C yaan Cash, Car, Cellular Phone kwisha hapo kwenye CASH c o lazma uwe nazo sana hata ukiwa na HELA flani ya KATI unaweza kumfanya akawa ZOBA wako, kikubwa zaidi ni MUKEBE/GARI/NDINGA nzuri hapo unakuwa umemloga na kuwa SMART ucsahau,Hawana SHIDA hao, Mwenzako mpk NAWAKIMBIA aiseeee..hahahahhaahahaaaaa..Karibu kwe2 USHUANI bhana...
Tatzo Lako ww D 007 ni kwamba huna History ya kuroll na Big dogs bitches ndio maana unaongea yote, sasa ngoja nikupe hii FORMULA ndogo tuu , Ukamilishe TRIPPLE C yaan Cash, Car, Cellular Phone kwisha hapo kwenye CASH c o lazma uwe nazo sana hata ukiwa na HELA flani ya KATI unaweza kumfanya akawa ZOBA wako, kikubwa zaidi ni MUKEBE/GARI/NDINGA nzuri hapo unakuwa umemloga na kuwa SMART ucsahau,Hawana SHIDA hao, Mwenzako mpk NAWAKIMBIA aiseeee..hahahahhaahahaaaaa..Karibu kwe2 USHUANI bhana...
Kitu cha deliverance eeeh???Kama umempenda msichana wa namna hiyo kwa ajili ya ndoa nakushauri utafute Kanisa la Kiroho lililopo jirani kwa ajili ya kuombewa kutolewa hao pepo wachafu kwanza baada ya hapo ufahamu wake utamrudia na atajitambua na kila kitu kitakuwa safi.