usinichekeshe !mpenzi wangu!
forodhani kuna mkaka bonge ya mutu sasa hiv
alikuwa anasema anakaa masaki!kumbe anakaa mwananyamala
si alikuwa anapanda mabasi ya posta masaki anashukia palm beach af anapanda ya uswahilini kwetu!lol
ahahahhahahhah wapi mheshimiwa fulani!sikutaji mzee nimekumisss tu popte ulipo lol!
watz kwa kucopy ? wewe mleta thread mbona hujasema umetoa wapi hili desa ?
hayo mambo hata ki shule yapo,hasa shule za sec.mtu anakupa story na kwao wanavyoishi kumbe uongo mtupu.kuna dada mmoja wakati nasoma,siku aliumbuka.alikuwa anaishi k'ndoni shamba,ila ki story zake akawa anatupa picha tofauti na anapoishi.siku alifiwa,wanafunzi tukaenda kwao,uwiiiii.aliumbuka mwenyewe.tangu siku hiyo,mashauzi hakuwa nayo tena
Mhhhhhh mwenzagu yamekukuta nini?ppole kama yamekukut,ila inaboa eeeehhhhh?Wanaume wenzangu, Umeshawahi kupata Msichana, mnadate lakini yeye ana sheria kama anaishi Europe wakati wazazi wake wanakaa NGALE LO O?? Msichana anaku-ektia maisha hadi wewe Boyfriend wake wakati unamjua fika A-Z kwa kujifanya High Class.
Kila kitu anataka high class,kuanzia nguo,hadi sehemu ya kula,ukitaka kumpeleka kwa khani chips anakwambia mi nimezoea Naura Springs huko ntaumwa tumbo Tumbo?? Wakati mamako anakula kishori home na ananenepa vizuri tu Huwezi kuwa serious!
Mathalani, umemnunulia zawadi maskini ya Mungu, umepata vijisenti kidogo ukaamua kum-surprise bebi nini ,umemnunulia Kiatu kizuri Sikia sheshe lake na maswali yake ya kalunguyeye,Baby wow,thanks for Shoes,Designer gani???OOh Em G(kwa ile sauti yao ya swagga za kwenye Series za ITV),Chu Tang Huang,oh no please
I only wear Italian Designers,kama Sio LV basi iwe angalau Prada,Versace,D&G au Givenchy,ukikosa saana,labdaRoberto Cavalli au Jean pauul Galtier Hivi viatu rudisha tu baba,they are so cheap Linakushuka Shuu!Maskini,unakuwa umejisapraiz!
Mimi sasa nilisoma na dada mmoja Forodhani ambaye alikuwa anajifanya matawi, alikuwa anatuambia anakaa upanga, sasa kila siku akawa anajifanya ananisindikiza kituoni halafu yeye anarudi shule kusuburi dereva aje amchukue, ila nikawa naona it is weird mtu kumsindikiza mwezio kila siku halafu unatembea kurudi tena shule, halafu alikuwa nawahi shule sana so ili tusimuone anakujaje shule, nikasema huyu nitampata tu. Siku moja nikajifanya napanda gari halafu nikashuka, kumuangalia naona wala harudi shuleni, nikamfuata , loh nikamkuta anaparamia basi la mbagala, nikamwita jina lake, alistuka nusu aanguke. Kesho yake akaja kuniambia nisesema kwa watu kuwa yeye hakai upanga na anapandaga daladala, but it was too late nilikuwa nishawaambia kitambo!! Aisee umenikumbusha mbali sana...
Upanga itself is just about slums by international standards. I should know. I lived in Upanga at its prime.
I do hope your youthful curiosity is now curbed. Kumfuatilia mtu kihivyo kama private dick bila malipo is such a waste.
We nawe nitolee Kiranga chako
mie, unataka ujulikane umeishi upanga ili iweje!!
Pia kumfuatlia, didnt waste my time kituo ni hapo hapo, alikuwa rafiki kwa nini anidanganye.
Hata kama upanga kuna slums, still huwezi kufananisha na mbagala!!
I lived in Upanga at its prime.
Dah! watoto wa vigogo bana....lazima wadondoshe sehemu walizoishi:becky:.
Sisi wa kwa Ali Maua tulie tu.
Mimi si mtoto, let alone mtoto wa kigogo.
Context imetolewa. Kwamba if anything Upanga is a collection of slums. Siwezi kudondosha sehemu niliyoishi kama naieleea kuwa ni slum.
Ni bongo nchi masikini tu watu wanaweza kuringishia sehemu kama Upanga.