Umeshawahi ku-date msichana anayejifanya 'high class'...?

Umeshawahi ku-date msichana anayejifanya 'high class'...?

mkuu huu ni utetezi mwepesi sana kwa jambo ambalo laumiza moyo...

Eti atakwambia alikua anajua yatakwisha tu!!!
Kama kauli ya Dr. Dhaifu isemayo "Janga la njaa Tz ni upepo tu, utapita"
 
huyo dawa kumbana ukapaone kwao!au unamfutilia kimya kimya
 
Haahahahahaaaaaaaaaaa! MTAJI WA MASIKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE!!!!!!
 
Fall for your type....habari ndo hiyo D 007, sasa kama huyu ni faker or pretender ya nini kupotezeana muda
 
Mambo ya madesigner ila akina dada wanapenda.... Mimi wangu sio wakujifanya much know ila anajua jua designer,, kidume sijui lolote. Juzi juzi nikawa nimebahatika kisafari nikasafishe macho,,,,, nikaingia shopping kununua mabegi viatu na vitu kama vile,,, sina hata idea(na wala sijui mambo hayo) designer etc.


Nikamletea bana,,,,, nilikula zinga la busu waooo VICTORIA SECRET..... aaaggrr nikamuuliza ndio nini??? Baby ndio designer,,,,,

Ila akina dada mna swagger,,,,,,,
 
usinichekeshe !mpenzi wangu!
forodhani kuna mkaka bonge ya mutu sasa hiv
alikuwa anasema anakaa masaki!kumbe anakaa mwananyamala
si alikuwa anapanda mabasi ya posta masaki anashukia palm beach af anapanda ya uswahilini kwetu!lol
ahahahhahahhah wapi mheshimiwa fulani!sikutaji mzee nimekumisss tu popte ulipo lol!
story zako zimenifurahisha
 
hayo mambo hata ki shule yapo,hasa shule za sec.mtu anakupa story na kwao wanavyoishi kumbe uongo mtupu.kuna dada mmoja wakati nasoma,siku aliumbuka.alikuwa anaishi k'ndoni shamba,ila ki story zake akawa anatupa picha tofauti na anapoishi.siku alifiwa,wanafunzi tukaenda kwao,uwiiiii.aliumbuka mwenyewe.tangu siku hiyo,mashauzi hakuwa nayo tena

Hahahahaahaaaaaaaaaaaa! umenichekesha sana, hata sisi wakati tunasoma Zanaki ,kuna dada mmoja wa huko huko kinondoni shamba , baba yake alikuwa shehe wa msikiti wa kinondoni mkwajun pale, akawa na mashauzi ile mbaya, siku alipofiwa tulienda karibu nusu ya darasa kuona kwao, mama yangu weeeeeeee! hata kochi kwao hakuna, tulikaa kwenye mikeka, nyumba wanayoishi wamepanga. Aibu tupu likamshuka shuuuuuuuuuuuuuu!!
 
Hahahahaahaaaaaaaaaaaa! umenichekesha sana, hata sisi wakati tunasoma Zanaki ,kuna dada mmoja wa huko huko kinondoni shamba , baba yake alikuwa shehe wa msikiti wa kinondoni mkwajun pale, akawa na mashauzi ile mbaya, siku alipofiwa tulienda karibu nusu ya darasa kuona kwao, mama yangu weeeeeeee! hata kochi kwao hakuna, tulikaa kwenye mikeka, nyumba wanayoishi wamepanga. Aibu tupu likamshuka shuuuuuuuuuuuuuu!!

natetea baadhi hutoaga makochi misibani kupatikane nafasi
 
Shida c huyo mdada Shida ni wewe kutaka Wanawake wa,level ya juu wakati unajua kabisa baadaye,yatakushinda. Wanaume wa bongo wengi hawajitambui hawataki Wanawake wa level yao na Wanawake Wameshagundua kwamba nikijifanya ni ko MATAWI ya juu ndo inakuwa rahic kupata nnchokihitaji, hata Sasa hivi ni wangapi wanahonga Wanawake mishahara au vitu vya thamani wakati mke nyumbani na watoto wanalala njaa? Ni wangapi wanao lala chini lakin wamewapangishia Mademu zao selfu container ? So Wanawake wamesha Gundua wanaume wengi wa Kibongo hawapendi asili yao au hawajikubali so lazima acheze na akili yako ili apate anacho Kihitaji. So wanaume kuweni wawazi wakati wa mnapokutana na Wanawake mara ya kwanza hii misifa ndo inayo sababisha NDOA za cku hizi kugeuka NDOANO.
 
hayo mambo hata ki shule yapo,hasa shule za sec.mtu anakupa story na kwao wanavyoishi kumbe uongo mtupu.kuna dada mmoja wakati nasoma,siku aliumbuka.alikuwa anaishi k'ndoni shamba,ila ki story zake akawa anatupa picha tofauti na anapoishi.siku alifiwa,wanafunzi tukaenda kwao,uwiiiii.aliumbuka mwenyewe.tangu siku hiyo,mashauzi hakuwa nayo tena

Kino ndo kwenyewe bana.
 
natetea baadhi hutoaga makochi misibani kupatikane nafasi
sikatai kuwa yanatolewa nje, si tungeyaona? kwani nimeshaenda misiba mingapi? na nyumba yenyewe ilikuwa chakavu , ila yeye akawa anatuelekeza kwa jirani yao ambapo pako powa.
 
Wapo na mfano mzuri kuna jamaa yangu kaweka mmoja ndani mwaka haujaisha jamaa anambwelambwela. Kila kitu anaongelea Mlimani City, Quality Plaza, Sijui shoppers Plazer na mengine mie sijui ila anaigiza maisha hamna lolote ukienda kwake nyumba inanuka mikojo ya watoto gari lake full miarufu but ukisikiliza swaga zake kama yupo Majuu. Wengi wanakuwa walishawahi kuishi abroad hata siku moja wakajivisha maushamba hata chipsi za mangi wanasema tumbo. Kibongo bongo ni washamba tuu
 
Hahahahaahaaaaaaaaaaaa! umenichekesha sana, hata sisi wakati tunasoma Zanaki ,kuna dada mmoja wa huko huko kinondoni shamba , baba yake alikuwa shehe wa msikiti wa kinondoni mkwajun pale, akawa na mashauzi ile mbaya, siku alipofiwa tulienda karibu nusu ya darasa kuona kwao, mama yangu weeeeeeee! hata kochi kwao hakuna, tulikaa kwenye mikeka, nyumba wanayoishi wamepanga. Aibu tupu likamshuka shuuuuuuuuuuuuuu!!

Na wasichana walio wengi hapa ndio kwao hamna wa kijijini kila unaemkuta masaki, Mbezi beach na upanga mwisho, hadi najiuliza mitaa mingine kama Manzese, Kinondoni Shamba, kwa mtogole hamna mabinti warembo
 
Wanaume wenzangu,Umeshawahi kupata Msichana,mnadate lakini yeye ana sheria kama anaishi Europe wakati wazazi wake wanakaa NGALE LO O??
Msichana anaku-ektia maisha hadi wewe Boyfriend wake wakati unamjua fika A-Z kwa kujifanya High Class,kila kitu anataka high class,kuanzia nguo,hadi sehemu ya kula,ukitaka kumpeleka kwa khani chips anakwambia mi nimezoea Naura Springs huko ntaumwa tumbo…Tumbo??wakati mamako anakula kishori home na ananenepa vizuri tu…Huwezi kuwa serious!
Mathalani,umemnunulia zawadi maskini ya Mungu,umepata vijisenti kidogo ukaamua kum-surprise bebi nini,umemnunulia Kiatu kizuri….Sikia sheshe lake na maswali yake ya kalunguyeye,”Baby wow,thanks for Shoes,Designer gani???OOh Em G(kwa ile sauti yao ya swagga za kwenye Series za ITV),Chu Tang Huang,oh no please…I only wear Italian Designers,kama Sio LV basi iwe angalau Prada,Versace,D&G au Givenchy,ukikosa saana,labdaRoberto Cavalli au Jean pauul Galtier…Hivi viatu rudisha tu baba,they are so cheap…Linakushuka Shuu!Maskini,unakuwa umejisapraiz!

Hahahahahahahhahhhhahahah................... mimi mgeni maeneo haya, mbavu zangu
 
Back
Top Bottom