NDESSA
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 1,946
- 1,795
Mkuu ulirekebisha? Nina same issue kwa Rav 4 OldIST UKIWEKA TU D UNANZE KUONDOKA INASHTUKA NAKULIA 'KUUU" shida itakuwa ni nini ?
Mkuu ulirekebisha? Nina same issue kwa Rav 4 OldIST UKIWEKA TU D UNANZE KUONDOKA INASHTUKA NAKULIA 'KUUU" shida itakuwa ni nini ?
Nangojea majibu ya hii kitu, mimi niko na Subaru Forestet 2008, tangu nije Dar inakula 6.8 - 7.2 km/L. Hizi foleni zinachangia huu ulaji?Mercedes benz c class w204 yenye M271 engine ina ulaji mbaya wa mafuta (high fuel consumption), inakula kati 6.5-7.2km/litre mjini.
Nimefanya au kucheki vifuatavyo:
Diagnosis (hakuna error au tatizo limeonekana kwenye engine au gearbox au components zinazoendana na hiyo mifumo, hata values ziko poa)
Service (engine oil, filter, air filter, ac filter)
Plugs zimebadilishwa
Alignment, tyre pressure pia iko sawa
alternator pulley haiko sawa ni ya kubadili ila bado haijabadilishwa (sina hakika kama hii ni sababu au la!)
Sijagusa oxygen sensor wala MAF sensor sababu mashine haijasoma chochote ila forums huko mbele kuna mtu alisema ilileta mabadiliko makubwa baada ya kubadili MAF sensor.
Msaada please kwa mtu mwenye idea au uzoefu wa kitu kama hiki kabla sijachokonoa gari
Toyota Ist inapoendeshwa ikiwa kwenye foleni mwendo mdogo sana inazima redio kisha inawaka dashboard inawakataa zote gari inazima na kisha ukiwasha gari inawaka na kwenye mwendo usio wa foleni haiizimi nini tatizo?Ka Ushakutana na shida yoyote kwenye gari yako ikakutatiza share Hapa Usaidiwe
Cheki gearbox mounting,kama inashida badilisha funga nyingine,kingine katazame diff ya kwenye gearbox je haina shida yoyoteMkuu ulirekebisha? Nina same issue kwa Rav 4 Old
Gari kuvibrate ukiwa umekanyaga brake ,shida huwa ni disk rotor,na vile vile ikivibrate baada ya kuwasha ac ,shida huwa ni engine mountingGari yangu ina kawaida nikiwa kwenye jam au popote pale nikiwa nimesimama na gari ikiwa kwenye gear nikikanyaga break ina vibrate, na pia nikkwasha A/C huku gari ikiwa imesimama inq vibrate
Nahizi ubadili Engine mount mkuuGari yangu ina kawaida nikiwa kwenye jam au popote pale nikiwa nimesimama na gari ikiwa kwenye gear nikikanyaga break ina vibrate, na pia nikkwasha A/C huku gari ikiwa imesimama inq vibrate