Umeona nini kwenye hii picha?

Umeona nini kwenye hii picha?

See you on twitter...... hapo kwenye you unajifanya muhindi na kusema vvvvuu kisha hapo kwenye twitter unatamka twiiiii huku kama unasonga ugali kwa ulimi basi utaona nlichoona Kasie Mahaba. ...

Hiviiiiii kitumbua kwa kiingereza kinaitwaje?
Fritter

  
 
View attachment 566973
Mimi nimeona rangi nzuri ya Total, hapa itakua sheli au wapi?
Fritter imejaa kweli
2a2dbde827ca28741722f159f4dcf495.jpg


  
 
Mimi nimeona pete ya ndoa kuashiria kuwa ni nke wa ntu!
 
See you on twitter...... hapo kwenye you unajifanya muhindi na kusema vvvvuu kisha hapo kwenye twitter unatamka twiiiii huku kama unasonga ugali kwa ulimi basi utaona nlichoona Kasie Mahaba. ...

Hiviiiiii kitumbua kwa kiingereza kinaitwaje?
Kitu ni thing, mbu ni mosquito, hiyo watatusaidia wajuvi zaidi. Hicho kudude kimeshanipotezea imakini.
 
Mbele kama katununi za Masoud ulivyonona
 
Back
Top Bottom