Maneno bila uthibitisho ni upotoshaji,tupia japo pichaArusha hamna ccm lkn Nyumba za aina hii zimejaa
Nenda monduli ukathibitisheManeno bila uthibitisho ni upotoshaji,tupia japo picha
Yale ndio maisha ya wamasai,nenda utakuta masai ana ng'ombe 2000,mbuzi 300 lakini anaishi kwenye nyumba ya nyasi kwasababu ndio asili yao.Nenda monduli ukathibitishe
kwa hiyo Masai kunywa maji na ng'ombe ndio maisha yao!!Yale ndio maisha ya wamasai,nenda utakuta masai ana ng'ombe 2000,mbuzi 300 lakini anaishi kwenye nyumba ya nyasi kwasababu ndio asili yao.
Mbona Lowasa haishi hivyo??Yale ndio maisha ya wamasai,nenda utakuta masai ana ng'ombe 2000,mbuzi 300 lakini anaishi kwenye nyumba ya nyasi kwasababu ndio asili yao.
Lowasa kaelimika na sio conservative kama walivyo wengineMbona Lowasa haishi hivyo??
Na yeye ni masai
Kumbe wamasai hawajaelimika ndio wanachagua chagademaLowasa kaelimika na sio conservative kama walivyo wengine
Ni ngumu sana kuongea na mlevi.Kumbe wamasai hawajaelimika ndio wanachagua chagadema