Nilikuwa kishapu huko shinyanga mwishoni mwaka jana hizi characters hazi-exist kwa kila mtu inshort hawa wadada sio kivile eti wanaheshima hapana hawa wanataka mpaka uwajue ukae nao
Alaa!, we vipi wewe? you think am kidding? am serious, mi sukuma original, both parents!, we unafikiri uko mwenyewe?
Pia wanajua sana sana kupika nilikula ugali uliopikwa na msukuma kwa matembele na nyama ya ng'ombe (chukuchuku=haina nyanya wala vitunguu) yaani sikuwahi kula nyama tamu kama ile na matembele mazuri sana. Hawa wanawake pia wana adabu za hali ya juu.
vijitu vingine bana
Na uhakika hayo matembele na hiyo nyama vilipikwa kwa mafuta samli......
Mi na wewe will never agree!, but keep in mind that, I might be your distant cousin
Mi na wewe will never agree!, but keep in mind that, I might be your distant cousin
Na uhakika hayo matembele na hiyo nyama vilipikwa kwa mafuta samli......
Du hata Binti Maringo anakinyaka Kisukusu!.Kui Shostito....bebe nzogo kono twibelegeje
Kui Shostito....bebe nzogo kono twibelegeje
Heheeeee...Haya matembele si ndo yanaitwa Malando,nyama iliyopikwa kwa samli ni kiboko kaka,bila kuusahau ule mlenda uliowekwa karanga 'Nswalu',na ugali uliowekwa kwenye sinia kisha ukapaliwa(unafunikwa na sufuria kisha moto wawekwa juu ya sufuria unakuwa mgumu flani hivi)....Bila kuyasahau maziwa mgando yaliyochekechwa(kuondolewa samli)...Hivi vyote vyaliwa kwa pamojaπππ..Yaani ni raha kweli
why will we never agree?
Nkwingwa umenifanya nisikie njaa ya ghafla! Nakumbuka wakati ule naenda gudema/ gudima (kuchunga ng'ombe) halafu nikirudi ile jioni bibi tayari keshaniandalia menu yangu. I love being Nsukuma aisee....
Heheeeee...Haya matembele si ndo yanaitwa Malando,nyama iliyopikwa kwa samli ni kiboko kaka,bila kuusahau ule mlenda uliowekwa karanga 'Nswalu',na ugali uliowekwa kwenye sinia kisha ukapaliwa(unafunikwa na sufuria kisha moto wawekwa juu ya sufuria unakuwa mgumu flani hivi)....Bila kuyasahau maziwa mgando yaliyochekechwa(kuondolewa samli)...Hivi vyote vyaliwa kwa pamojaπππ..Yaani ni raha kweli
Cause, that's how it looks like most of the times....we never come to an aligned conclusion
Du hata Binti Maringo anakinyaka Kisukusu!.