Umeoa Msukuma?


Hebu tudhibitishie Chriss.
 
hao mie nawaitaga funga kazi, mweh hapana!...bht,charity wanaumne wa kimachame ni wazuri mno pia, wanajua kupenda/wanapendeka,tabu kwa hao mtakaowaita wifi...uwiiii, labda umkute kazaliwa mwenyewe...lol

wanaume wa kimachame nawapa sana credit jamani wala sio siri

ila hao wapalestina hapo kwenye buluuu.....yeomiiiii!!!! mmmh hatari tupu!!!!
BTW mwenzenu huwa natatizwa sana na suala zima la mawifi......nimefikia point nahisi ntakuwa nawaogopa dada wa mume wangu.......(stori huwa zinanitisha)
 


cjasema hivyo luv, kaka zangu ni wachakarikaji sana tena sana nawa salute kwa hilo, kwani luv ukishaniletea matumizi ndani ndio mchezo umeishia hapo?btw cku hizi makabila mengi yanajitahidi sana kwenye uchakarikaji wa kutafuta sumni, kama kuna alielala acamshwe.....
 
Jamani nilikuwa na Msukuma wangu faragha kidogo kumbe nae huwa anachungulia sana hapa lol kanipa zawadi ya ushindi
 

hun lolote mfia nchi dot com tu wewe......
 
Jamani nilikuwa na Msukuma wangu faragha kidogo kumbe nae huwa anachungulia sana hapa lol kanipa zawadi ya ushindi

Ipi hiyo kakununulia kasimu cha tigo????
 
nsukuma original hasemi "mi sukuma original" na hasemi "wawezya"...labda wewe nsukuma wa kichina

Hahahaha komredi Yo Yo aliniambia nae ni Msukuma original nilivyo mcheck lafudhi yake nikajua msukuma wa kichina huyu sio wa Magansu.
 

Kijana mfianchi unaweza kuwa na mawzo mazuri lakini nasikitika ushachelewa mno.Toka wale jamaa watutawale basi walishatuachia na desturi zao.Nina uhakika hata wewe jina lako la kwanza ni la kingreza.Kurudisha utamaduni wa zamani mie naona ni ndoto za alinacha kwa sasa.
 

Hilo la mawifi linahitaji thread inayojitegemea............!!!! πŸ™‚
 

Itakusaidia nini ujaziwe mijihela na vijisenti ndani afu isiwepo ile Tenderness,malavidavi,makuchikuchi hotai & ma-care?. si ndo mwanzo wa viserengeti jamni(God forbid)?
 
yeye ataleta matumizi ndani lakini ucmwambie naomba unisidie kumnywesha katarina uji, hilo halipo kwake, kaweka miguu juu ana watch tv hawezi fanya hivyo, muulize chriss kama alishawahi hata kumbadili mtoto pampers.

Hii ilikuwepo kwenye mada ya jana nilikushtua weeeeeeee uje uwaambie wenzio ukauchubua, baeleze bana
 


hawatakiwi kuogopwa hao,unampa kitu blank, ni heshima ishike mkondo wake, ni mawifi wachache mno mno ni wema, ucmfanye shoga yako hata cku moja, cjui blah blah, ajue mpangilio wako wa maisha,uwe na distance nae, kikazi zaidi!
 

Usikate tamaa mapema kiasi hicho, tuungane pamoja kwenye kuifia hii nchi jamani! Hata utamaduni wetu tu tunashindwa kuufia? πŸ™‚
 
hawatakiwi kuogopwa hao,unampa kitu blank, ni heshima ishike mkondo wake, ni mawifi wachache mno mno ni wema, ucmfanye shoga yako hata cku moja, cjui blah blah, ajue mpangilio wako wa maisha,uwe na distance nae, kikazi zaidi!

asante, kiukweli I do ask myself many qns regarding hao
asnte tena kwa tip mama ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…