na utakuwemo
hahaaaaa utajibebaaaaaaaaaa!!!
wa ukweli mbona kule nimekwambi ninahamu na wewe ukanichunia??
hutaki eeeh!!!!
binghwe lekagi mabhuchilhu ghete! bhanike bhasughuma bhelele ghete!
Tafsiri yake ndo nini Mkuu?
Au Msukuma yeyote tupe maana ya hii maneno, nadhani hatukanwi mtu hapa!
kumbe ushajibu B!!!dah, B lakini mjadala huu wa makufuli si tuliufunga kama ule wa richimondi, au ndo haufi kama ulivo wa richimondi? LOL
π
Hapa panaonekana pana ukweli shemeji.Mbona hamjakanusha Nyamayao aliyosema?mh shemeji...dont judge a book by its cover bana.....mmh
heheeeeeeeeTafsiri,
Nyie acheni chuki binafsi, wasichana wa kisukuma ni waelewa/watakatifu!! --- π (Watanisahihisha kama nimekosea)
Na mimi Nyamayao nikimbizie huko.Nitafutie wa huko usukumani. kwa mtaji huu hawa wachga naona kama watanilostisha.
wabishe na ni ukweli tupu???Hapa panaonekana pana ukweli shemeji.Mbona hamjakanusha Nyamayao aliyosema?
what about wahaya,changieni
Laaziz,
Don't be so sure hapo kwenye red! π
heheeeeeeee
wasukuma wanawamba ngoma dah!!!!!!!!!!!!!!!
utakatifu umekujaje kwa hao dada zenu..............
hayo ndio maneno yaliyotoka mdomoni mwake laaziz....
ckufichi mdogo wangu, hawa kaka zangu hapana! yeye ataleta matumizi ndani lakini ucmwambie naomba unisidie kumnywesha katarina uji, hilo halipo kwake, kaweka miguu juu ana watch tv hawezi fanya hivyo, muulize chriss kama alishawahi hata kumbadili mtoto pampers.
Hasa wachaga wa Rombo, yaani nahisi wanaongoza kwa mfumo dume hapa duniani! Ila na Wakurya nao mmmmh!!
ahahhahahha.kumbe na wewe ndo wale wale tu.Kizazi cha dotcomTafsiri yangu siyo rasmi sana maana nami Kisukuma nimejifunzia mjini kwenye shule kama nayotaka kuanzisha Charity....!!! π
ckufichi mdogo wangu, hawa kaka zangu hapana! yeye ataleta matumizi ndani lakini ucmwambie naomba unisidie kumnywesha katarina uji, hilo halipo kwake, kaweka miguu juu ana watch tv hawezi fanya hivyo, muulize chriss kama alishawahi hata kumbadili mtoto pampers.
sukuma medium skuli, Charity is this true!!! mie ni mtrained UPE teacher, nikumbuke na unipe upendeleoTafsiri yangu siyo rasmi sana maana nami Kisukuma nimejifunzia mjini kwenye shule kama nayotaka kuanzisha Charity....!!! π
Tafsiri yangu siyo rasmi sana maana nami Kisukuma nimejifunzia mjini kwenye shule kama nayotaka kuanzisha Charity....!!! π
Charity,Just curious! wewe umeoa wapi? je unajuta kuoa kabila hilo? Hebu tueleze kwa faida ya wadogo zako na waoaji/waolewaji wengine.
heee.Bac hapa kazi ipo.Tutaamia huko huko usukumani mwenzangu.hao mie nawaitaga funga kazi, mweh hapana!...bht,charity wanaumne wa kimachame ni wazuri mno pia, wanajua kupenda/wanapendeka,tabu kwa hao mtakaowaita wifi...uwiiii, labda umkute kazaliwa mwenyewe...lol
ahahhahahha.kama na wewe ndo wale wale tu.Kizazi cha dotcom