Me kuna moja aliniuliza ivyo day one nilipokutana nae. Nikamwambia sitaki maswali ya kise... Akaona eeeh! Safari hii kazi ipo. Nikajua hatorudi tena, lkn haikuwa ivyo. Kumbe wkt mwingine wanawake wanapenda mwanaume aswaa sio wale wanaoendekeza ujinga ujinga.
Kwanini unanipenda? Huyo uliyeachana nae ilikuwaje? Ni kweli unanipenda? Nini utanifanyia? Ni mambo gani unapenda nikufanyie! Sipendi na sipendi, nimekufuata nikubali jinsi nilivyo lasivyo Ladies mtagengedwa mpaka kucheeeeeeeeeee
Bby mbona uko bizy? bby mbona haujibu sms zangu? bby mbona haupokei simu, uko na nan?
hapa huwa nachukia sana.......afu unakuta missed call 78, sms 10......dah. Najiuliza nimekosea kutokujua medical history yake kwanza.
Bby mbona uko bizy? bby mbona haujibu sms zangu? bby mbona haupokei simu, uko na nan?
hapa huwa nachukia sana.......afu unakuta missed call 78, sms 10......dah. Najiuliza nimekosea kutokujua medical history yake kwanza.
Bby mbona uko bizy? bby mbona haujibu sms zangu? bby mbona haupokei simu, uko na nan?
hapa huwa nachukia sana.......afu unakuta missed call 78, sms 10......dah. Najiuliza nimekosea kutokujua medical history yake kwanza.