Umenipendea nini?

Umenipendea nini?

Al-shabaab

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
1,791
Reaction score
620
Najua mu wazima,

Umenipendea nini?

Ni moja ya maswali ambayo sipendi kuulizwa na mpenzi wangu,

Je wewe hupendi swali lipi na unapenda lipi?
 
mimi napenda Samsung Galaxy, baby utaninunulia?
 
Unaishi na wazazi wako au peke yako? Hiyo nyumba umepanga au yako? Una gari ngapi? Kwenu mmezaliwa wangapi? Wangapi wako majuu? Unapenda mwanamke wako aweje? Huyo wa mwanzo alikuwaje? Nikikupenda utanipendaje?
 
(message inaingia kwako na ni ya M-Pesa)
Ke: baby nan huyo?
Me; ah, Mpesa tu hii, davy ndo keshalipa.
Ke; sh ngapi? /Kiasi gani???

Hamna kitu naona dharau ka hilo swali. Stakagi kuskia
 
Sipendi kuulizwa 'ushakuwa na wanaume wangapi kabla yangu??

Kuna signature ya Heaven on Earth ilikuwa na ujumbe mzuri sana kuhusu hilo swali.
Kwamba haijalishi mtu ameshakuwa na watu wangapi au wa aina gani, kilichopo kama nakupenda kwa sasa yatosha, hayo mengine sio kitu.

Japo kwa wanaume wengi jambo la history linawasumbua sana, japo hata wao sio kwamba wana record safi ila wanafikiri kwa mwanamke ni mbaya kuliko kwa mwanaume. Kama unataka record safi hakikisha na yako ni safi. Japo haimaanishi kwamba ndio mtakua na mikwaruzo michache au mambo yatakua tambarare.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom