LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,234
- 883
Tanzania hii aibu nani abebeshwe lawana!! TANESCO au SERIKALI!?
Magamba
Tanzania hii aibu nani abebeshwe lawana!! TANESCO au SERIKALI!?
Aibu kubwa sana hapa uwanjani. Nimeshaibiwa camera yangu,
Hakika hii ni aibu kubwa kwa TFF na Taifa kijumla
Kwa hiyo nani atajiuzulu?mlinzi au mtia mafuta wa uwanja?wewe huoni kama Mhando,Ngeleja,John Nchimbi ni watu wa kunyongwa?after 50years of independence?????ndio maana nasema bora mjerumani arudi alifanya ya maana kuliko CCM.Acha kutetea ujinga ndugu yangu kwa mtindo huu hata kama CCM ikipewa miaka 1000 hatutaendelea.mtindo wa kulindana hauna tija kwa taifa letu,leaders should be responsible!!!!Uongozi wa uwanja wa Taifa ni mbovu kabisa, generator zipo, zilikuwa hazina mafuta! can you believe it?
Uongozi wa uwanja wa Taifa ni mbovu kabisa, generator zipo, zilikuwa hazina mafuta! can you believe it?