Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 6,925
- 7,935
Niko maeneo umeme umekatika nikasema acha ni tune radio, I was shocked 70% ya radio zinazopatikana Dar hazijapatikana ndani ya dakika 1 can you imagine?. Je huu umeme umekatika dar nzima au Tanzania nzima? vipi hapo ulipo umeme upo?
Natoa pole kwa TANESCO
========
TAARIFA KWA WATEJA WETU WA MIKOA ILIYOUNGANISHWA NA GRIDI YA TAIFA
Juni 06, 2019
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake wa Mikoa iliyounganishwa na gridi ya kuwa imetokea hitlafu kwenye mfumo wetu wa gridi mnamo saa 09:53 alasiri na kusababisha Wateja wetu kukosa huduma ya umeme.
Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.
Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.
Kwa mawasiliano
Kituo cha miito ya simu 2194400 na 0768 985100
IMETOLEWA NA:
OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU
Natoa pole kwa TANESCO
========
TAARIFA KWA WATEJA WETU WA MIKOA ILIYOUNGANISHWA NA GRIDI YA TAIFA
Juni 06, 2019
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake wa Mikoa iliyounganishwa na gridi ya kuwa imetokea hitlafu kwenye mfumo wetu wa gridi mnamo saa 09:53 alasiri na kusababisha Wateja wetu kukosa huduma ya umeme.
Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.
Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.
Kwa mawasiliano
Kituo cha miito ya simu 2194400 na 0768 985100
IMETOLEWA NA:
OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU