kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Umeme wa Bwawa la Nyerere utawashwa wote au ndo zitakuja ngonjera?
Kuna mtu alishanitonya kuwa hata bwawa likikamilika zitakuja ngonjera kuwa matarajio ya kupata megawatts 2100 hayapo na kwamba mambo yameenda ndivyo sivyo na kwamba zinazozalishwa ni megawatts 400 tu 500 ndo pekee bwawa limetoa kinyume na matarajio
Na umeme habari yake itabaki vile vile tu migao kama yote na watakuja na miradi ya solar, jenereta/mafuta upepo na gesi kama miradi ya upigaji
Tuanzie hapa kwanza umeme wa bwawa tunaanza kupata lini?
Maana serikali inayoongozwa na Mwitongo agreements siiamini kama ipo kutetea wananchi
Mpaka leo mwendokasi mbagala 0%
Ile ya keko 0%
Sgr 0%
Yaani miradi yote imesimama na watu wapo tu
Hili bwawa la Nyerere litahujumiwa hadi mtalionea huruma mwaijuwa hii nchi vizuri?Kwasasa nchi inaongozwa na kupitia mwitongo agreement unategemea nini?
Kuna mtu alishanitonya kuwa hata bwawa likikamilika zitakuja ngonjera kuwa matarajio ya kupata megawatts 2100 hayapo na kwamba mambo yameenda ndivyo sivyo na kwamba zinazozalishwa ni megawatts 400 tu 500 ndo pekee bwawa limetoa kinyume na matarajio
Na umeme habari yake itabaki vile vile tu migao kama yote na watakuja na miradi ya solar, jenereta/mafuta upepo na gesi kama miradi ya upigaji
Tuanzie hapa kwanza umeme wa bwawa tunaanza kupata lini?
Maana serikali inayoongozwa na Mwitongo agreements siiamini kama ipo kutetea wananchi
Mpaka leo mwendokasi mbagala 0%
Ile ya keko 0%
Sgr 0%
Yaani miradi yote imesimama na watu wapo tu
Hili bwawa la Nyerere litahujumiwa hadi mtalionea huruma mwaijuwa hii nchi vizuri?Kwasasa nchi inaongozwa na kupitia mwitongo agreement unategemea nini?