truegooner
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 779
- 339
Bila chama? La hasha!
Unataka kunishawishi? Bila chama.
Bila chama? La hasha!
We need an 'Unlike' option here for people like you! MODS take notes!Bora tubaki na ccm yetu kuliko wachochezi na wavunja amani iliyojengeka nchini, wanaponda maendeleo wakati wao kulipa pango na mishahara tu kumewashinda kazi kushinda Dubai na Israel kila mwaka.
ila mipango ipo na wote twaiona. Wakija tuwape tu maana wameanzisha mradi muhimu sana, tukiwapa wengine itatuchukua karne kupata mradi kama huo.
Ilishawahi kutelewa kauli kuwa mgao wa umeme ulishafikia mwisho, hautokuwepo tena.
Unataka kunishawishi? Bila chama.
Magogoni huwa umeme haukatiki.wapi huko kuna mgao? huku nilipo nina zaidi ya mwaka sijaona mgao. umeme haukatiki
WATZ 2AMKE HIZ AHAD 2WE 2NAZIKUMBUKA NA SIO KUWAPONDA WAPINZAN BILA HAWA HATA 2SINGEJUWA UFISAD UNAOFANYIKA HUKO JUU, kama wame2ahd umeme kushuka ndo 2we 2nakumbuka wakija kwenye kampen mwakan.Bora tubaki na ccm yetu kuliko wachochezi na wavunja amani iliyojengeka nchini, wanaponda maendeleo wakati wao kulipa pango na mishahara tu kumewashinda kazi kushinda Dubai na Israel kila mwaka.
Kweli kweli. Tunadanganywa kama vifaranga .future imposible tense