rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 18,069
- 25,744
Siku hizi wanakata usiku Tena wanatukatia wakati wa pasaka
Mrudishieni Makonda Uwenezi wake wa chama ili mpate tena umeme!!Nchi ngumu sana hii
Maana halina maswali ya nyongeza,linaishia hapo tu!!Hili neno gridi ya taifa linakera kulisikia basi tu
Au itakuwa tz nzima 😔 hadi arusha hukuna umeme tangu usikuKuanzia saa 8 usiku hadi naandika hakuna umeme Ilala Bungoni.
Mfumo wa umeme wa subsidiary uanze kujengwa, nadhani mama yetu Samia rais wetu mpendwa, laa aziz wa watanzania aanzishe hii project, kwa mfumo wa kisasa zaidi, kwa teknolojia ya kisasa zaidi, ili hatimaye mifumo iwe inapokezana, ulaya na America kote huwa na mifumo miwili, ndicho wanachojitapa nacho, nasi twende huko!Hivi wanaposema. Gridi ya taifa imesumbua , halafu karibu nchi nzima inakosa umeme .Tanesco hawana redundancy system kwamba mfuno mmoja ukisumbua mfo mwingine ufanye kazi hata kwa nusu ya uwezo wake ?
Gridi imesumbua kilimanjaro huko lakini nchi karibu yote ipo gizani.
Yaani Kilimanjaro ndio inalisha nchi au? Tatizo lingetokea Kinyerezi ningeelewa, ila sio Kilimanjaro. Hii ‘Circuitry’ yao ikoje?Hivi wanaposema. Gridi ya taifa imesumbua , halafu karibu nchi nzima inakosa umeme .Tanesco hawana redundancy system kwamba mfuno mmoja ukisumbua mfo mwingine ufanye kazi hata kwa nusu ya uwezo wake ?
Gridi imesumbua kilimanjaro huko lakini nchi karibu yote ipo gizani.
Tanzania tuna uneme wa kututosha kinachotusunbuwa ni ujinga tu.Mfumo wa umeme wa subsidiary uanze kujengwa, nadhani mama yetu Samia rais wetu mpendwa, laa aziz wa watanzania aanzishe hii project, kwa mfumo wa kisasa zaidi, kwa teknolojia ya kisasa zaidi, ili hatimaye mifumo iwe inapokezana, ulaya na America kote huwa na mifumo miwili, ndicho wanachojitapa nacho, nasi twende huko!
-happy passover!
Watasema umeme ulikuwepo tulikuwa tunawatania tu.Siku ya wajinga leo
Bado haijatosha mbonaImetosha sasa kwakweli,this is too much
Kwani hamjazoea kukaa gizaniWatasema umeme ulikuwepo tulikuwa tunawatania tu.
Kwani hamjazoea kukaa gizani
Wakubwa wao wanajuwa mtanzania hata ukimlaza gizani mwezi sawa tu
Ova
#sister_faizafoxy,nimetoa ushauri muhimu sana juu ya hatma ya huko tuendako, tuna viwanda vingi vinakuja na harakati nyingi za kiuchumi zinakuja zote hizi msingi wake mkuu ni umeme wa uhakika.Tanzania tuna uneme wa kututosha kinachotusunbuwa ni ujinga tu.