Umeme upo hapo ulipo kwa sasa?

Umeme upo hapo ulipo kwa sasa?

HAYA UMERUDI KUNA MWENYE LAWAMA TENA?
Baada ya kupitisha maombi makali kabisa! 😁😁😁
 
Fungeni backup tu, kuendelea kulilia umeme wa TANESCO ni kuishiwa mbinu!
Umenena kunako.

Nisaidieni budget ndogo ya solar.

Iwe ndogo kwelikweli
  • Niwashe TV
  • Nichaji simu
  • Nipige pasi
  • Kuwasha Feni moja hadi mbili
 
Tarehe 01, April, 2024 Muda 11:54 am
Location: Ubungo Riverside
Status: Offline
 
Saa la 10 tokea ukatike.

#BringBackUmeme
 
Umeme hamna afu mvua inataka inyeshe. Si watapata sababu hawa.
 
Nchi chama kilichoshika serikali hakna mpinzani umeona wapi wewe.

Sisi ni marehemu
 
Back
Top Bottom