zec ni wapi?
Nimecheka balaa, halafu mtangaza matokeo anasema mpaka umeme urudi ndio ataendelea!
Matangazo ya tume ya taifa ya uchaguzi Zanzibar yamesitishwa naada ya umeme kukatika.
Duh kazi ipo
Maajabu ya Tanzania haya na hawana hata back up generator kwa tukio kama hili
Kuna nini hapa ?? Matokeo yanasimamishwa kwa kukosa umeme ???????
Maajabu ya Tanzania haya na hawana hata back up generator kwa tukio kama hili
Kuna nini hapa ?? Matokeo yanasimamishwa kwa kukosa umeme ???????