droidwallmail
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 275
- 63
kwanini kama hakuna back up wasimulikwe na tochi??? kwani kamera si zingewaona tu...
Amin nawaambia goli la mkono mwisho Lindi tuuuu. Lazima kieleweke leo
Tena Hotel maarufu kabisa.......
Sidhani kama Tanzania inatakiwa kuwa ktk hatua kama hii kwa sasa