MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 353
Kulikuwa na mwanaume wa kichina na mwanamke wa kitanzania wakawa wamefanya tendo baada ya miez tisa yule mwanamke akajifungua yule mchina akaenda kumtazama mtoto akakuta mweusi akamuuliza mkewe
mchina: fipi muke angu mbona mimi na veve nyeupe?
mkewe: hata mimi ninashangaa mana hata mm ni mweupe wewe imekuwaje kwan?
mchina: hapana veve na mimi hakuna ntatizo tatizo ni ntanzanyia hakuna meme
mkewe: kwahyo tatzo ni umeme?
mchina: ndio! Kan mimi hot na veve hot na meme hakuna katika kufanya tendo ndo mana toto ungua kabisa
mchina: fipi muke angu mbona mimi na veve nyeupe?
mkewe: hata mimi ninashangaa mana hata mm ni mweupe wewe imekuwaje kwan?
mchina: hapana veve na mimi hakuna ntatizo tatizo ni ntanzanyia hakuna meme
mkewe: kwahyo tatzo ni umeme?
mchina: ndio! Kan mimi hot na veve hot na meme hakuna katika kufanya tendo ndo mana toto ungua kabisa