johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,135
Mh Bashe kaza buti kama Biteko Ili yale matatizo matatu tuondokane nayo kabisa
Niwashukuru Sukuma Gang kwa kutumalizia Mgao wa Umeme
Kazi kwenu Bashe ( sukari) na Mwigullu (Dollar)
Mungu ni mwema Wakati wote 😄
Niwashukuru Sukuma Gang kwa kutumalizia Mgao wa Umeme
Kazi kwenu Bashe ( sukari) na Mwigullu (Dollar)
Mungu ni mwema Wakati wote 😄