Jangili La Kimataifa
Member
- Jun 13, 2024
- 8
- 7
Kuna mikoa mvua ikianza kunyesha tu haichukui dakika 5 umeme unakatika sijui tanesco wameshindwa kusolve hili imekua ni tamaduni na desturi 🤔
Yaelekea wewe siyo mtoto wa 2000+ maana watoto wa kizazi hiki cha joka hupenda kusema "umeme umekata"Kuna mikoa mvua ikianza kunyesha tu haichukui dakika 5 umeme unakatika sijui tanesco wameshindwa kusolve hili imekua ni tamaduni na desturi 🤔