Umeme kuwashwa usiku kuanzia saa 7 mpaka Asubuhi

ureni

JF-Expert Member
Jun 14, 2011
1,261
526
Hawa jamaa wa TANESCO hata hawawezi kutumia akili kidogo,nimeshangaa leo umeme umewashwa kuanzia saa 7 usiku mpaka asubuhi kwenye makazi yetu,sasa mimi kinachonikera mchana kutwa mnazima umeme halafu mnarudisha usiku kuanzia saa 7 mpaka asubuhi wakati watu wamelala sasa inamaaana gani?Itamsaidiaje mwananchi wa kawaida?Au mnakomoa?kweli nimeshindwa kuelewa.
 
Nadhani wanakomoa yaani wanakuwa kama makampuni ya simu eti piga simu bure kuanzia saa 6 usiku.yaani kama una msiba,ajari,tatizo lolote inabidi usubiri saa 6 usiku ngo uwajurishe ndg na jamaa.
 
arusha ndio tunavyopata huu umeme,.....kila siku saa 6 au 7 ndio unakuja na kukatika saa 10 au 11,....inabidi utegeshee alarm saa 6 ili uamke kunyoosha nguo au kucheck mambo yanavyoendelea dunian kwenye luninga mkuu,........anyway_life goes on
 
Duh nchi hii! kuna thread moja nimekumbuka mchungaji wa Nigeria T.B Joshua Upinzani watashinda lkn hawatatawala na akaongeza kwamba nchi haitatawalika! nadhan mkono wa Mungu ulishuka kwa kile Chama cha upinzani, Chama tawala wakaipindua Mkono wa Mungu, na ndivyo tunavyoshuhudia leo kilaana laana tu
 
Hawa jamaa wa TANESCO hata hawawezi kutumia akili kidogo,nimeshangaa leo umeme umewashwa kuanzia saa 7 usiku mpaka asubuhi kwenye makazi yetu,sasa mimi kinachonikera mchana kutwa mnazima umeme halafu mnarudisha usiku kuanzia saa 7 mpaka asubuhi wakati watu wamelala sasa inamaaana gani?Itamsaidiaje mwananchi wa kawaida?Au mnakomoa?kweli nimeshindwa kuelewa.
Hakuna nyumba ndogo ya mkuu mtaani kwenu? Ndio maana wanawakatia hivyo
 
Dr Idris Rashid alibainisha haya miaka miwili iliyopita lakini mlimlaumu na kumwona mwehu.

Sasa kazi kwenu.
 
Back
Top Bottom