Umemchoka mwanaume omba talaka

Umemchoka mwanaume omba talaka

jeipm

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2018
Posts
500
Reaction score
825
Taifa hili limekumbwa na matukio ya kila uchao na haya matukio ukisikia yanasimuliwa au kuandikwa au kutangazwa yanasikitisha

Wanaume wamegeuka majoka kama jamii inavyowatafsiri au wauaji au wapumbavu kama jamii inayowaita baada ya mauaji kufanyika.

Mauaji kutokana wa wivu wa kimapenzi yanakunyemelea popote pale ulipo, kikubwa baki njia KUU

Mi nawageukia wanawake na pia nawashauri kama una Mme na umemchoka bora ukaomba TALAKA na si KUCHEPUKA.

Wanaume hawapendi unafki
 
Hakuna mtu anapenda kunafikiwa mkuu...Muhimu ni kuambiana ukweli na uwazi,.kama unahisi kumchoka mwenzio kiroho safi mwambie baba/mama eee shika fifty zako me naona nitakuumiza hapa bureee...simple.

Maisha ya kimahusiano ni very simple tukiamua wenyewe kuya-simplisha.
 
Umeandika as if wanaume hawachepuki kabisa

Hebu acha kuegemea upande mmoja basi....wanaume wanachepuka zaidi ya wanawake!

Tena siku hizi ndio wameanza kuona kama ni haki yao kumiliki mchepuko

Hata sisi hatupendi unafki​
 
Tatizo ukiwa na familia inakua kama investment,kupoteza sio rahisi
Lazima ifike hatua mkubaliane tu kuwa Mambo hayaendi mbele Tena.
Maana ili ndoa idumu lazima mmoja awe mvumilivu kupita kiasi kwa matendo ya mwenzie.
Kukishakuwa na kushindana hamuwezi kudumu.
Ni Bora mkatafuta namna nzuri ya kulea watoto kuliko mwingine akaishia ardhini na mwingine jela.
Ni afadhali hao watoto wakalelewa na mzazi mmoja kuliko kukosa wote
 
Lazima ifike hatua mkubaliane tu kuwa Mambo hayaendi mbele Tena.
Maana ili ndoa idumu lazima mmoja awe mvumilivu kupita kiasi kwa matendo ya mwenzie.
Kukishakuwa na kushindana hamuwezi kudumu.
Ni Bora mkatafuta namna nzuri ya kulea watoto kuliko mwingine akaishia ardhini na mwingine jela.
Ni afadhali hao watoto wakalelewa na mzazi mmoja kuliko kukosa wote

Mkishakua na familia,hamupaswi kuwa selfish kwa kuweka needs zenu mbele...
badilisha mind set mkuu..
unaoa/kuolewa sio tu kugegeda tu ni kuanzisha pia familia unayopaswa kuilinda...
By the way,hakuna ndoa isiyopitia magumu,kama wenzako wamepitia vipindi vigumu na kupita salama,why not you...u sacrifice everything in the name of mchepuko?? NO!
 
Mkishakua na familia,hamupaswi kuwa selfish kwa kuweka needs zenu mbele...
badilisha mind set mkuu..
unaoa/kuolewa sio tu kugegeda tu ni kuanzisha pia familia unayopaswa kuilinda...
By the way,hakuna ndoa isiyopitia magumu,kama wenzako wamepitia vipindi vigumu na kupita salama,why not you...u sacrifice everything in the name of mchepuko?? NO!
Mkuu, kwenye ndoa hakuna wakati mtakuwa mna misimamo, tabia sawa.
Ni lazima uamue kukubaliana na mapungufu ya mwenzio kwanza ndio utakuwa na amani.
Ukijikuta upo kwenye ndoa aafu kila siku unavutana na mwenzio Basi bado hamjaelewana.
Lakini tambua pia, kiafrica a man takes the lead of the family.
Suala la michepuko Ni subjective.
Kuna watu hawachepuki lakini ndoa zao Ni ngumu na Zina shida balaa. Kwa hiyo ugomvi wa kwenye ndoa nyingi sio sababu ya michepuko pekee.
Lakini pia msisahau kuwa, wewe unapokuwa na mume Kuna mwenzako kakosa. Na yeye anawinda. Kwenye mawindo yake wapo na waume za watu(off course, ndio preferences kwani wanajua kulea).
 
Mkuu, kwenye ndoa hakuna wakati mtakuwa mna misimamo, tabia sawa.
Ni lazima uamue kukubaliana na mapungufu ya mwenzio kwanza ndio utakuwa na amani.
Ukijikuta upo kwenye ndoa aafu kila siku unavutana na mwenzio Basi bado hamjaelewana.
Lakini tambua pia, kiafrica a man takes the lead of the family.
Suala la michepuko Ni subjective.
Kuna watu hawachepuki lakini ndoa zao Ni ngumu na Zina shida balaa. Kwa hiyo ugomvi wa kwenye ndoa nyingi sio sababu ya michepuko pekee.
Lakini pia msisahau kuwa, wewe unapokuwa na mume Kuna mwenzako kakosa. Na yeye anawinda. Kwenye mawindo yake wapo na waume za watu(off course, ndio preferences kwani wanajua kulea).

mnhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
hujanielewa
nilikua namaanisha je uko tayari kuitoa sadaka familia yako,ili uwe na mchepuko au uwe na familia nyingine??
Kukabiliana na mapungufu,ni mambo ambayo tunachunguzana tukiwa wachumba sio tumeoana na familia tayari,
ukiwa kwenye ndoa na kila siku mnavutana,ni makosa yenu wenyewe kuoana kabla hamjajuana vizuri,in which makosa ni yenu ,sio familia mliyoianzisha,!
siwaelewagi watu wanaoacha wake zao au familia zao kabisa!!!.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom