Mjusi Sharobalo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2025
- 7,578
- 13,041
Watajua wenyewe hata wakifunga mitandao hatuna shida maana tutashinda barabarani hiyo siku, so watajichosha tu maana hatutakuwa na muda wa kuchekeana mtandaoni.
Wewe unaishi ili siku za kufa zifike upumzike hauko sawa..Sasa sahivi kuna upepo gani zaidi ya manyumbu kuendelea kupelekewa moto na majizi ya Ccm? Acheni unyumbu mtaisha kweli hata wewe leo unawaona hao nyumbu una umoja nao ila siku ukitekwa hamna watakachofanya hawawezi hata kuandamana kwaajili yako, kuwa makini
Nakusubiri tarehe 29 Cheguevara wa kazuramimba kigoma ufanye mapinduzi ukitegemea kundi la manyumbu lifanye hayo mabadilikoWewe unaishi ili siku za kufa zifike upumzike hauko sawa..
Safari za mamba kenge hamkosi, nyie km majirani wanaofurahia umeme ukikatika mtaa mzima ili wote wabaki kwenye giza..!Nakusubiri tarehe 29 Cheguevara wa kazuramimba kigoma ufanye mapinduzi ukitegemea kundi la manyumbu lifanye hayo mabadiliko
Mimi sipo kwenye safari yenu siwezi kuongozana na Nyumbu njia moja, maana nyumbu hata wakiwa elfu 5 wanaweza kukimbizwa na kitoto cha sungura , nitakua na nyie safari moja siku mkiacha unafiki na uoga, kwa sasa acha mtembezewe kichapo na majizi ya Ccm kichapo kikikolea hadi mkatoa pembe kujitetea ndo nitakua na nyieSafari za mamba kenge hamkosi, nyie km majirani wanaofurahia umeme ukikatika mtaa mzima ili wote wabaki kwenye giza..!
Weka location ili tar 30 tuje tukusalimie huko makunduchi 😹
Haupo safari ila uko nyuma nyuma km mkia wa mkondoo..Mimi sipo kwenye safari yenu siwezi kuongozana na Nyumbu njia moja, maana nyumbu hata wakiwa elfu 5 wanaweza kukimbizwa na kitoto cha sungura , nitakua na nyie safari moja siku mkiacha unafiki na uoga, kwa sasa acha mtembezewe kichapo na majizi ya Ccm kichapo kikikolea hadi mkatoa pembe kujitetea ndo nitakua na nyie
Acha mbwembwe tarehe 29 hakuna mahali unaenda , labda ujifungie ndani nikupe bakora yangu ujichape nayoHaupo safari ila uko nyuma nyuma km mkia wa mkondoo..
Wewe ndo mnafki km nyeti za mbwa
Huyu msenge haeleweki baridi moto kote yupo yupo ***** zakeeeeeLucha upo km kinyeo cha kuku haijulikani km cha kunyea au cha kutagia..!! 😹😹
Kwa utumbo unaotype Sitegemei hata km jongoo anapanda mtungi 😹Acha mbwembwe tarehe 29 hakuna mahali unaenda , labda ujifungie ndani nikupe bakora yangu ujichape nayo
Hizo ndo tabia za wanafki 😹Huyu msenge haeleweki baridi moto kote yupo yupo ***** zakeeeee
Tarehe 29 Nitakupa bakora yangu ujichape nayo na nikiwa nakubagaza na kukubananga nataka ulie ukisema la victoria siempreKwa utumbo unaotype Sitegemei hata km jongoo anapanda mtungi 😹
Endelea kuota mpaka ubebe mimba 😹Tarehe 29 Nitakupa bakora yangu ujichape nayo na nikiwa nakubagaza na kukubananga nataka ulie ukisema la victoria siempre
Njoo unibebeshe basEndelea kuota mpaka ubebe mimba 😹
Yai likipevuka nishtue nije nikupige ya mapacha okay? 😹Njoo unibebeshe bas
Tayari we njooYai likipevuka nishtue nije nikupige ya mapacha okay? 😹
Jeshi tu ndio linaweza kuikomboa hii nchi. Shida ni wale wa ngazi za juu kabisa nao wameshalambishwa asali.
KinaCaptain Tesha ndio watakao tukomboa kutoka kwenye makucha ya ccm.