GE2025 Umejiandaaje Tarehe 29 Oktoba?

GE2025 Umejiandaaje Tarehe 29 Oktoba?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Wengine ni veggies hawaamini kwa upinzani kwa propaganda walizolishwa na vyama. vyao lakini wanataka mabadiliko..!!

Ni kweli shem.
Sasa Agenda kuu ya maandamano ya 29 Oct ni nn?..
 
Wakifanya hivyo ndio wataharibu zaidi. Tukifanya mzaha nchi itaingia kwenye machafuko makubwa mno.
Tumebaki kusema ndo wataharibu zaidi hivi kuna uharibifu utakaozidi jinsi watu wanatekwa na kupotezwa kama kuku 😡😡
We need to act now ila kwa hili la leo nimeconclude hamna action wabongo mtachukua tusubirie kulamba lami tu!
 
Tumebaki kusema ndo wataharibu zaidi hivi kuna uharibifu utakaozidi jinsi watu wanatekwa na kupotezwa kama kuku 😡😡
We need to act now ila kwa hili la leo nimeconclude hamna action wabongo mtachukua tusubirie kulamba lami tu!
Let's do it. Kesho tutoke mkuu.
 
NRNE lakini Chadema wasiingie front na waache kujifanya wao wahusika wananchi wanapoanza kudai haki zao..!!
NRNE Linahitaj kuwa ni jambo la kitaifa na sio kichama.

Mm pia nadhan hili ndio haswaa.
Na baadae wakikubali hili Raia watapenyeza katiba mpya.

Kwa namna hiyo. Ndio naona ushind uko.
 
Lucha upo km kinyeo cha kuku haijulikani km cha kunyea au cha kutagia..!! 😹😹
Mi sipo upande wowote nasema ukweli siwezi kuwa upande wenu wazee wa mikwara mtandaoni ila waoga kama nyumbu wala siwezi kuwa upande wa majizi ya Ccm
 
Kwanza kura yangu haina kwa kwenda,
Pili tutajua siku ikifika
 
Mi sipo upande wowote nasema ukweli siwezi kuwa upande wenu wazee wa mikwara mtandaoni ila waoga kama nyumbu wala siwezi kuwa upande wa majizi ya Ccm

Uko upande wa TZ.
NRNE
Katiba mpya.
Ni hoja. Lini vitapatikana?.

Uchaguzi serikali za mitaa mwaka jana. 2024. Kuna mjumbe wa chama pinzan. Ni prof. Alikuwa amerudisha fomu baada ya kujaza. Akaambiwa amekosea. Na hajui kuandika 😂😂😂 na jina likakatwa.

CCM ilipata 98% ya viti vya uwenyekiti serikali za mitaa. Na ni mwaka jana tu.
 
Labda mtoke muende shopping au kutembea beach. Wabongo kwenye kudai haki kwa nguvu bado tunajifunza.
Mchana kariakoo nlikua natazama jinsi kila mmoja hana habari walah nlikua nasikia hasira 😭…
Najuta kufatilia mambo ya siasa za bongo maana naona naelekea kuwehuka!
 
NRNE Linahitaj kuwa ni jambo la kitaifa na sio kichama.

Mm pia nadhan hili ndio haswaa.
Na baadae wakikubali hili Raia watapenyeza katiba mpya.

Kwa namna hiyo. Ndio naona ushind uko.
Hilo ndo la msingi
 
Mi sipo upande wowote nasema ukweli siwezi kuwa upande wenu wazee wa mikwara mtandaoni ila waoga kama nyumbu wala siwezi kuwa upande wa majizi ya Ccm
Wewe ni mnafki unaangalia upepo ulipo, mara ngapi unawaunga mkono hao majizi?
 
Wewe ni mnafki unaangalia upepo ulipo, mara ngapi unawaunga mkono hao majizi?
Sasa sahivi kuna upepo gani zaidi ya manyumbu kuendelea kupelekewa moto na majizi ya Ccm? Acheni unyumbu mtaisha kweli hata wewe leo unawaona hao nyumbu una umoja nao ila siku ukitekwa hamna watakachofanya hawawezi hata kuandamana kwaajili yako, kuwa makini
 
Back
Top Bottom