GE2025 Umejiandaaje Tarehe 29 Oktoba?

GE2025 Umejiandaaje Tarehe 29 Oktoba?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Machafuko kwa maandamano au?.
Maandamano mtatakiwa mjiorganise . Kwa sim au kwa group nk. Na mjue mnakutania wap.

Sasa wakizima mtandao. Utajua unaenda wap?.
Mfano mzuri ni Sudan 2018–2019 (Hirak movement) Katika kipindi cha maandamano dhidi ya Omar al-Bashir, kulikuwa na vizuizi vya mitandao na mawasiliano ili kupunguza mawasiliano baina ya waandamanaji.

Walivyojiroga kuzima mitandao, maandamano yalizidi kuwa makubwa na hatimaye yalifanya Bashir kupinduliwa (Aprili 2019).
 
Kwa hiyo nchi itaingia kwenye machafuko ila wewe utabaki kama mpenzi mtazamaji
Unadhani nani anapaswa kuwa sehemu ya hayo machafuko ?
Nchi ikiingia kwenye machafuko ni lazima wananchi wote washiriki?
 
Nchi ikiingia kwenye machafuko ni lazima wananchi wote washiriki?
Kwa hiyo huwa mnaandika mambo mazito mazito ambayo kimsingi mnadhani kuna watu wengine wanatakiwa kuyafanyia kazi. Kwa bahati unakuta kila mmoja anasubiri mwenzake aanze.
 
Nitakuwa magetoni nafuatilia live
1000058037.jpg
 
Swali la kitoto sana. Tatizo hamsomi historia, Juzi tu 2011 wamisri waliandamana na kusababisha machafuko baada ya serikali kuzima mitandao. Je, unadhani waliplan vipi?
Simple tu brother.
Waliplan kabla ya mtandao kuzimwa.
Waandamaji wale walikaa siku kadhaa bila kurud makwao. Walijikuta ni makund makubwa na wakaungana kuwa kundi kubwa zaid Cairo.

Kwahiyo organisation ilifanyika kabla ya mtandao kuzimwa.

Nakuuliza ww sasahiv.
Tar 29 . Unatka kuandamana. Utaenda wap?.
NB: sehem ambayo itatajwa kabla ya tar 29. Jua itakuwa na ulinz mkubwa kwahiyo raia hawataweza kuamka alfajiri na kuwahi.

Pia Misri. Polisi baadae walikuwa upande wa Raia.
 
Kwa hiyo huwa mnaandika mambo mazito mazito ambayo kimsingi mnadhani kuna watu wengine wanatakiwa kuyafanyia kazi. Kwa bahati unakuta kila mmoja anasubiri mwenzake aanze.
Kinachoendelea hakihitaji nabii kujua mwisho wake.
 
Umejiandaaje na siku ya Uchaguzi Tar 29 Oct.

Maana Hakuna mtandao wa simu utafanya kazi.

Utasema unatumia VPN. Ila vpn bila data ni bure. Kwahiyo watazima internet.

Watafinya calls na sms. Kwahiyo call drops zitakuwa za kutosha.

Kwahiyo No internet. Call drops za kutosha . Tigopesa, Mpesa na mitandao ya Bank yote via phone itakuwa chini...

Je wewe Umejiandaaje?.

Ushauri tu.
Uwe na Cash ya kutosha kwa atleast Wiki moja..

Na Hili halihitaji unabii au sijui nimeoteshwa au NRNE.

Na pia sio Prediction bali ni Spoiler.
Watanzania Wana andamana mitandaoni, hakuna mtu atatoka barabarani labda waambiwe Kuna mapokezi ya Simba au Yanga hapo watajaa mitaani
 
Mfano mzuri ni Sudan 2018–2019 (Hirak movement) Katika kipindi cha maandamano dhidi ya Omar al-Bashir, kulikuwa na vizuizi vya mitandao na mawasiliano ili kupunguza mawasiliano baina ya waandamanaji.

Walivyojiroga kuzima mitandao, maandamano yalizidi kuwa makubwa na hatimaye yalifanya Bashir kupinduliwa (Aprili 2019).

Tz hii hii 2020. Waliminya mtandao.
Kuna aliye andamana?.

Hawa wanaohamasisha maandamano wawe mstar wa mbele. Ndio haswaa itahamasish watu.

Bila hivyo. Tar 29 ni siku ya uchaguzi na kutulia nyumban
 
Not Real.
Pia Tz hakuna Rebel group.
Hawa majamaa hawajakaa kimya. Wanajua wataanzia wap had wap kuzuia kwa namna yoyote ile ambayo Raia wamepanga.

Kama maandamano na waTZ wako tayar basi wale watu wa mbele
Wakina Mange. Fatma karume. Lissu. Gwajima na maaskofu wake. Wakina Heche na makada wa chadema bon yai nk. Wakina Kitima. Agustino Nyerere. Wakina H.Polepole, Captain Tesha nk.

Wawe mstar wa mbele pale. Na wakamatwe. Na hapo ndio raia watapata hasira.
Ila kama hakuna mtu wa mbele phyisically. Bas hakuna mtu ataandamana.

Na hili pia sio prediction ni spoiler.
Ok watch your back, no one is safe
 
Mkuu, Juzi sio sawa na leo..

Wangap wameuliwa na kutendewa ndivyo sivyo. Na hakuna kund la watu walioandamana physically?.

Na agenda ya maandamano haiko clear.
Je ni NRNE?.
Au kuondoa serikali kandamizi?.
Au Oct hatutiki?.


Nn hasa agenda? .
Na je raia wote wenye lengo la kwenda kuandamana. Wanajua hilo lengo kuu?.

Ukipata jibu .basi utapata jibu kuwa tar 29 umejiandaaje.
 
Wabongo wengi huwa tunawatwisha wengine misalaba yetu mwisho wa siku watu kama Lisu anabaki anateseka peke yake. Nchi hii tungekuwa serious Lisu angekuwa uraiani.
Exactly.

Agenda ingekuwa free Lissu.
Na Lissu akiachiwa agenda inakuwa Katiba mpya.

Sasa hizi agenda haziongelewi.
 
Exactly.

Agenda ingekuwa free Lissu.
Na Lissu akiachiwa agenda inakuwa Katiba mpya.

Sasa hizi agenda haziongelewi.
Wengine ni veggies hawaamini kwa upinzani kwa propaganda walizolishwa na vyama. vyao lakini wanataka mabadiliko..!!
 
Back
Top Bottom