Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 3,300
- 6,381
Umejiandaaje na siku ya Uchaguzi Tar 29 Oct.
Maana Hakuna mtandao wa simu utafanya kazi.
Utasema unatumia VPN. Ila vpn bila data ni bure. Kwahiyo watazima internet.
Watafinya calls na sms. Kwahiyo call drops zitakuwa za kutosha.
Kwahiyo No internet. Call drops za kutosha . Tigopesa, Mpesa na mitandao ya Bank yote via phone itakuwa chini...
Je wewe Umejiandaaje?.
Ushauri tu.
Uwe na Cash ya kutosha kwa atleast Wiki moja..
Na Hili halihitaji unabii au sijui nimeoteshwa au NRNE.
Na pia sio Prediction bali ni Spoiler.
Maana Hakuna mtandao wa simu utafanya kazi.
Utasema unatumia VPN. Ila vpn bila data ni bure. Kwahiyo watazima internet.
Watafinya calls na sms. Kwahiyo call drops zitakuwa za kutosha.
Kwahiyo No internet. Call drops za kutosha . Tigopesa, Mpesa na mitandao ya Bank yote via phone itakuwa chini...
Je wewe Umejiandaaje?.
Ushauri tu.
Uwe na Cash ya kutosha kwa atleast Wiki moja..
Na Hili halihitaji unabii au sijui nimeoteshwa au NRNE.
Na pia sio Prediction bali ni Spoiler.