Ashuke?Atashukaje sasa? Patakuwa hapatoshi!
Sipendi kuitwa mchochezi![]()
![]()
![]()
Atashuka kama alivyoshuka Gadafi na wanao fanana naye.Atashukaje sasa? Patakuwa hapatoshi!
Mungu ni mwema mtaniMtani heri ya mwaka mpya.Sijakusikia nilidhani umepotezwa na wewe.Duh bora nimekuona maeneo
Mshana, we mbona unatafutia watu kesi?
twambie wewe, yule aliyepandishwa juu na kukojolea watu hadharani ni nani!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Picha imenitoa machozi aiseee !!!!Nambie umeelewa nini kwenye hii picha hapa...!
![]()
joniNi yule faru aliyepotea kule mbugani, baada ya kungizwa mbugani akawa mtemi aliitwa faru nani vile?