Ni hapa kwetu. Jamaa kasaidiwa kuwa juu, alipofika juu anawakojolea waliomandisha. Bonge la ujumbe.
Ni hapa kwetu. Jamaa kasaidiwa kuwa juu, alipofika juu anawakojolea waliomandisha. Bonge la ujumbe.
Ha ha ha kuwa wazi tuSipendi kuitwa mchochezi
Nambie umeelewa nini kwenye hii picha hapa...!
Burundi wanahangaika kumshusha waoAtashukaje sasa? Patakuwa hapatoshi!
Mmmh!Ninaona kinyume na maumbile ya macho aisee
Siku hizi naona tu ni machozi kila siku ....ndio kwanza kunakucha ,pambaneni achaneni na habari ya kulia haisaidii kituPicha imenitoa machozi aiseee !!!!
Hebu nifafanulie kido mkuu! Maana sijaielewa hasaaa.Ashuke?
Nani anataka kutoka kwenye ufalme mkuu?
Nimekuelewa sana .Siku hizi naona tu ni machozi kila siku ....ndio kwanza kunakucha ,pambaneni achaneni na habari ya kulia haisaidii kitu