Eee bana eee! mwaJ ,
Shida Kova mwenyewe anatumwa na mtu anayeitwa "MKUU"...Hana jinsi M'baba wa watu!
Kwa jinsi sura yako hiyo ilivyo, mimi ningetamani kukuona wewe, halafu utokee Live sebuleni...(kumbuka kuwa simba akitokea live hang'ati, na hivyo na wewe ukitokea sebuleni sitakung'ata)
MwaJ umenifanya nionekane chizi huku ofisni maana nimeshtukia kichecho cha nguvu kinatoka!
Kha! mbavu zangu mie lol!:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh: