G.Man
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 1,008
- 2,002
Umbali kutoka Misri kwenda Israel ni kilomita 623 tu. Lakini Musa na kundi lake (wana wa Israel) walitumia miaka 40 kutembea hadi kufika nchi ya ahadi.
Huu ni wastani wa kilomita 15 kwa mwaka, sawa na kilomita 1.25 kwa mwezi.
Hii ni sawa na mita 42 tu kwa siku, yani umbali nusu ya uwanja wa mpira.
Hii ni sawa na mita 21 kwa masaa 6(tukichukulia kua siku ilikua ni masaa 12 ya mchana pekee na usiku walikua wanalala)
Ni sawa na mita 10.5 kwa masaa 3(yani urefu wa penalti) kwa masaa 3.
Katika hali ya kawaida na katika historia watu wa kale walikua majabali(giants), ambao unbali wa mita 10.4 ni saww na hatua zake 3.
Nashindwa kuelewa, ina maana walikua wanapiga hatua moja kwa saa moja, kitu ambacho hata konokono tu atavuka huo umbali kwa saa moja.
Hizi hesabu nyie mnazielewa?
Mkuu kwa mujibu wa mahesabu yako umehesabu kana kwamba kuanzia siku wanatoka misri walitembea direct mpaka kanaani, ila ukisoma Biblia utaona kabisa kuna muda mwingi tu ambao walikuw wamepiga kambi;
*Kulikuw na wajawazito na watoto wachanga kweny kundi pamoja na wanaojifungua ambao hawawezi kutembea kwa muda huo kumbuka
*Kulikuw na wagonjwa pia
*Walipigana vita vingi tu njiani kama unajua vita huwa ina cost muda kias gan, kuna wakati ilikuwa inabid watume makachero wakapeleleze nchi za huko mbeleni
* Pia kuna wakati walimchukiza Mungu kabisa kwahy akawaacha wakajikuta wanazunguka mlima mpaka Mungu alipoamua mwenyewe kuwaonesha direction..
Ukisoma mtiririko kweny Biblia nafkir utaona tu