Kamanda lema jana nusura atoe machozi kutokana na kiwango cha umaskini walichonacho wakaazi wa mkoa huo.
Chanzo:magazeti ya leo.
sio kama maskini tu ni kama msukule. kwa kweli wanatia huruma watu wa kusini. ikataeni ccm na ufisadi wake wote mpate kujikomboa enyi watu wa kusini. mnataka kuishi kwa taabu hadi lini?Watu wa kusini ccm iliwafanya waonekane kama watu wa kale
Watu wa kusini ccm iliwafanya waonekane kama watu wa kale
sio kama maskini tu ni kama msukule. kwa kweli wanatia huruma watu wa kusini. ikataeni ccm na ufisadi wake wote mpate kujikomboa enyi watu wa kusini. mnataka kuishi kwa taabu hadi lini?
Kamanda lema jana nusura atoe machozi kutokana na kiwango cha umaskini walichonacho wakaazi wa mkoa huo.
Chanzo:magazeti ya leo.
Watu wa kusini ccm iliwafanya waonekane kama watu wa kale
Watu wa kusini ccm iliwafanya waonekane kama watu wa kale
Mkuu, hii habari ni mifupa mitupu, haina nyama! Embu rudi utudadavulie
Kama CCM ilifanya wa kusini wawe masikini basi wa kaskazini walio matajiri inabidi waipende CCM!
Umasikini upo kila kanda, kaskazini pia wako masikini wa kutupwa na wengine wanakufa njaa.
Basi tu ukishapenda vyama/viongozi kila atakachosema hata kama ni pumba unajikuta unasifia tu bila kufikilia.
watu wa kusini ni wavivu by nature,,