Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,320
- 6,806
lakini tujiulize kwani ccm
ndo inamfanya mtu asishike jembe akalime...Mikoa ya pwani baadhi ya watu
wanatabia za kimwinyi yaani kutopenda kujishughuli wala kuonyesha juhud
katika kazi zao..
Kama ukishindwa kutumia nguvu yako na akili yako unadhan nani
atakakukomboa kutokana na umaskin..
Kwa mbaali kuna kaukweli, mibaba mizima huko inaogopa ng'ombe inaita mdudu!
Mbuzi akisimama mlangoni pa nyumba baba hawezi kuingia hadi mbuzi atoke, eti wanaogopa!