Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,740
Napo zungumzia umaskini na jumlimsha kuanzia maskini, tajiri, wasomi, masheik, wachungaji, wakristo, wailsamu, wabudu majini, wabunge, wanasheria, mawaziri, wataalamu mpaka mkuu wa nchi.
Wote sisi maskini tukubari hata kama unajua kuandika na kusoma na kutumia pesa.
Upigaji unaokuwepo serikali tambueni wote wale ni maskini ndio maana hawajatosheka.
Wasomi tunaowategemea mfano Mwijaku, Dkt. Tulia na wengine wote ni maskini wakiendeshwa na njaa zao mpaka unaweza kujiuliza wamekosa nini.
Kila sehemu utaona kuwa wote ni maskini ndio maana akili zetu zinawaza kumaliza shida zetu zilizotengenezwa tokea kupata uhuru.
Matajiri nao ni maskini tuliopo nao hapa Tanzania mifano tunayo wakizidi kugombania na maskini wanzake.
Waangalie wabunge wale waliopo bungeni na chama tawala unaona ni umaskini ndio maana bungeni hakuna kinachoeleweka sababu ya umaskini wao.
Umaskini
Wote sisi maskini tukubari hata kama unajua kuandika na kusoma na kutumia pesa.
Upigaji unaokuwepo serikali tambueni wote wale ni maskini ndio maana hawajatosheka.
Wasomi tunaowategemea mfano Mwijaku, Dkt. Tulia na wengine wote ni maskini wakiendeshwa na njaa zao mpaka unaweza kujiuliza wamekosa nini.
Kila sehemu utaona kuwa wote ni maskini ndio maana akili zetu zinawaza kumaliza shida zetu zilizotengenezwa tokea kupata uhuru.
Matajiri nao ni maskini tuliopo nao hapa Tanzania mifano tunayo wakizidi kugombania na maskini wanzake.
Waangalie wabunge wale waliopo bungeni na chama tawala unaona ni umaskini ndio maana bungeni hakuna kinachoeleweka sababu ya umaskini wao.
Umaskini