Umasikini wa kutisha hapa Marekani

Umasikini wa kutisha hapa Marekani

Wamerekani weus hiyo mentality yao haijaachana kabisa na wenyeji wa Africa Kusini( Dzonga), ulevi, starehe na chuki kwa wageni inawafanya wajikute si wachapa kazi....BIG UP kwa wasomali hawa jamaa kwenye Taifa lolote utakalowakuta lazima wawe wametake over ishu ya Biashara na wakifuatiwa na wapopo. Wabongo weng kwenye mataifa ya wengne hawana umoja wa hivoo disorganised.
Hili swala la kuvutana mashati kwa sisi wabongo linatumaliza sana, yani ukipata kidogo roho zinatokota uko kama maarage jikoni
 
Unataka kusema hali ya Ufukara wa huku kwetu ni afadhali kuliko US? Alafu umekuja na maneno matupu bila namba, bado unataka tukuchukulie serious?

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
itakuwa kweli kwasababu kwetu ata muuza genge, boda boda, mama lishe anaweza kununua ardhi na shamba tofauti na uko kwa Bideni
 
Ukifatilia vizuri hao unaowataja kama homeless hawajafa na baridi, jiulize wako wapi muda huu?
 
Lakini maisha ni zaidi ya ardhi na shamba, vijijini kila mtu ana ardhi mbona bado wapo kwenye umaskini uliotopea?

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Tatizo la umasiki ni la watu wenyewe kuto jielewa kama Mzazi kuto kuwajengea misingi watoto tatizo la umasiki wetu ni sisi wenyewe wananchi la kuzaa watoto hovyo hovyo kama mifugo tu bila kuwajengea misingi tofauti na wazungu wao wana zaa kwa mikakati awa zai tu kisa mpenzi wake ana maisha mazuri basi mwanamke ajibebeshe uja uzito au wasichana wakizungu kubeba mimba kwa kwasababu ya tamaa ya pesa .
 
Seriously mm nahitaji niibuke huko US npe connection ya kupata Green card NOTE nakuja kama professionally siji kuzamia.
 
Ndiyo maana nilishtuka mapema kwenda US. Kwa profession yangu kwenda huko ni dakika 0, mimi nikienda nina uhakika wa maisha, ila nikianza kufikiria kizazi changu kinachofuata kwa life la huko roho inagoma kabisa kuwapeleka huko.

Wanaweza wakaja kujiingiza kwenye lifestyle ya hao niggers mambo yakawa ndivyo sivyo.
We jamaa nipe hiyo connection niende huko professionally nkapige job hapa bongo miyeyusho na nan anakujua vyeti tu havitoshi
 
American lazima Karma iwakute kwa njia yoyote ile kwa Unyama walio wafanyia na wanaendelea kuwafanyia AFRICAN AMERICAN wame wafanya WATUMWA kwa karibu MIAKA 400 usiku na mchana wanafanyishwa kazi ujira ni kula tu hakuna ELIMU wala nini.. then unakuja kuwapa UHURU watu ambao umeyatani maisha yao kwazaidi ya miaka 400 hajawajui chohote kile hapo hapo unaanzisha SHERIA kali za uhalifu ile zifanyae kazi effectively kwa watu ambao hawana elimu hawajui kesho yao.

Linatoka jitu AFRICA Huko na LATIN AMERICAN linakuja USA lina enjoy maisha ambayo yamejingwa na hawa AFRICAN AMERICAN kisha hawaoni hata aibu wanaanza kuwatukana eti wavivu.
 
Kama Africa kuna nafuu kwa nini kila siku Waafrika wanapambana kuzamia huko?
Kwa nini balozi za Marekani zinaelemewa misururu ya maombi ya visa kutoka kwa Waafrika??
Kutokujua,niliiona jamaa wamezamia Spain,ngoma ngumu wakawa wanalalama wazungu wawe wanaonesha uhalisia kwenye tv,wangejua ndo vile wasingezamia
 
Homeless wengi hawataki kufanya kazi na wengi ni drug addict sasa kwa Amerika mfumo wa capitalism usipofanya kazi huwezi kuwa na kitu chochote lazima ufanye kazi.

Maana kupata vitu kama nyumba,gari lazima wacheki credit yako.sasa kama mtu hafanyi kazi lazima aishie kuwa Homeless tu.
Kauli mbiu ni ileile, Asiyefanya kazi afe...
 
Iko hivi hapo nimejaribu kuweka tofauti kwa maana ya kuwa kuna africa american wazawa yaani walio zaliwa hapa US ambao walikuja kama watumwa! Wana majina kama Nigro, Niga na mengineyo alafu kuna waafrica wahamiaji yaani wale ambao hawakuja kama watumwa! Sasa hawa Negro wana wabagua wale waafrica ambao ni wahamiaji ila hawakuja enzi za utumwa! Sijui kama umenielewa hapo
Angejua walivyo waabaguzi Ni Bora ukutane ama ubaguliwe na mzungu. Mana yeye akanyanyaswa so Anazo emotions trauma pains za kunyanyaswa zote anamalizia kwako wewe. Anataka aishi Kama mzungu anasahau history yake
 
Ili upate Kazi lazima uwe na address, ili uwe na address lazima lazima uwe na NYUMBA, so ukiwa homeless vigumu au haiwezekani kua na Kazi, akaunti bank
 
Back
Top Bottom