AFRIKAN GUY
Member
- Jun 26, 2015
- 67
- 74
Nilikua natumia muda kufikiria namna gani ni mwadhibu mwanangu kulingana na kosa alilotenda, kiasi kwamba mpaka nahairisha kumwadhibu au nasahau.
Nimelelewa na mzazi ambaye anapiga balaa, yaani anatandika kinouma. kiasi kwamba ninamuogopa mpaka leo.
Lakini katika kusoma soma kwangu nikapata kaexposure kidogo kakusoma mambo kadhaa kuhusu adhabu kwa watoto, nikagundua mimi ni mwathirika wa Mtu aliepata adhabu ilizopitiliza utotoni.
So naogopa sana mwanangu awe kama mimi. kwasababu kuna gharama kubwa anazolipia na alizilipia mzazi wangu kwasabab ya namna alivonilea. mimi nililipa gharama za kutumbukia kwenye mabalaa lkn sikuweza kumwambia mzee, mzee alipitia na anapitia gharama za kukosa ukaribu na mimi, ukaribu ambao hauwezi kuja ghafla kama anavyotaka yeye. (though najitahidi lkn yeye hajabadilika)
Kwahiyo mimi nimeamua nitakua na urafiki mkubwa na mwanangu, kwasababu ataweza kuniambia lolote hata kama akitumbukia kwenye mabalaa atanambia kirahisi.
Na kuhusu adhabu nitajitahidi nisimtukane wala nisimdhalilishe, nikifanya hivyo nitamwomba msamaha. na akifanya makosa yyte nitajitahidi:
Nimelelewa na mzazi ambaye anapiga balaa, yaani anatandika kinouma. kiasi kwamba ninamuogopa mpaka leo.
Lakini katika kusoma soma kwangu nikapata kaexposure kidogo kakusoma mambo kadhaa kuhusu adhabu kwa watoto, nikagundua mimi ni mwathirika wa Mtu aliepata adhabu ilizopitiliza utotoni.
So naogopa sana mwanangu awe kama mimi. kwasababu kuna gharama kubwa anazolipia na alizilipia mzazi wangu kwasabab ya namna alivonilea. mimi nililipa gharama za kutumbukia kwenye mabalaa lkn sikuweza kumwambia mzee, mzee alipitia na anapitia gharama za kukosa ukaribu na mimi, ukaribu ambao hauwezi kuja ghafla kama anavyotaka yeye. (though najitahidi lkn yeye hajabadilika)
Kwahiyo mimi nimeamua nitakua na urafiki mkubwa na mwanangu, kwasababu ataweza kuniambia lolote hata kama akitumbukia kwenye mabalaa atanambia kirahisi.
Na kuhusu adhabu nitajitahidi nisimtukane wala nisimdhalilishe, nikifanya hivyo nitamwomba msamaha. na akifanya makosa yyte nitajitahidi:
- ajue makosa yake na nimweleze kwanini hilo ni kosa.
- Kumwekea Muda wa Kutulia ili afikilie makosa aliofanya.
- Kumwondolea Privilege endapo atakosa.